Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,930
- 3,980
Dah noma sana target
Yesu anaponya
Yesu anaponya
Ndiyo zilimfanya mama yako mzazi anipende hadi wewe ukazaliwa
Nashukuru Mshana kwa busara zako sema mm siwezi kuumia kwa ajili ya mtu asiyenijua isitoshe mm na uzee wangu sithubutu kumtukania mtu yeyote Mzazi wake nidhambi kubwa it's better nikamu attack yeye mwenyeweSi vema kuwahusisha wazazi kwenye kejeli zisizowahusu
Jr![]()
Utu uzima dawa!Nashukuru Mshana kwa busara zako sema mm siwezi kuumia kwa ajili ya mtu asiyenijua isitoshe mm na uzee wangu sithubutu kumtukania mtu yeyote Mzazi wake nidhambi kubwa it's better nikamu attack yeye mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app

Utani gani huo,,,,,,,?????Kama nikipewa nafasi ya kuisaidia polisi kuhusu hili na ikafika kipengele cha kutaja washukiwa natamani nijue jina lako halisi ili uwe wa kwanza kwenye orodha yangu.
Hahahaaa natania tu mkuu ila umejitahidi kudadavua tukio kitaalamu zaidi,,,naomba kuuliza "hivi wewe ni mmoja kati ya HM?"
Mkuu hawa watu wanaudhi aiseeSi vema kuwahusisha wazazi kwenye kejeli zisizowahusu
Jr![]()
Ni utani tu mkuu,,,siwezi kumtaja huyo hata nishikiwe bunduki.
Mkubwa wahenga wa kizungu wanasema usidharau neno lolote hata liwe la kijinga sana. Hiyo kauli ya Mange sio ya kuupuza. Ni kuunga doti unapata majibu sahihiMange Kimambi, anauliza je, kwann Jana kwa Mara ya kwanza Makonda hakuwepo Ikulu wakati MAGU akipokea ripoti za Kamati teule za Bunge?
Anasema Bashite alikuwa DOM kuratibu zoezilililoshindwa lakuondoa Uha wake..
-Domhome-
jamaa hapa umelenga ninapowaza haswa