Pinokyo Jujuman
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 552
- 104
Suala la Msingi la kujiuliza hapa ni hawa Askari walikuwa wangapi?; kama alikuwa peke ake basi ni tatizo kwani ni vigumu sana kumlinda binadamu mwenzako tena mwenye akili timamu tena yawezekana hata kukuzidi wewe umlindaye.
Wafungwa wapo wa makosa mbalimbali hivyo yawezekana pia wafungwa hao nao wapo trained hivyo waliweza kumzidi ujanja huyu Askari, kwani tunajua kuwa Shari ya aina yoyote ili uishinde yahitaji timing tu.
Hivyo nachelea kusema kuwa ni uzembe au sio uzembe"
Wafungwa wapo wa makosa mbalimbali hivyo yawezekana pia wafungwa hao nao wapo trained hivyo waliweza kumzidi ujanja huyu Askari, kwani tunajua kuwa Shari ya aina yoyote ili uishinde yahitaji timing tu.
Hivyo nachelea kusema kuwa ni uzembe au sio uzembe"