wametoroka chini ya mikononi mwa polisi? au wametoroshwa na polisi?
Intelijensia alikuwa wapi? Hawakuwa na kitu kizito cha kuwapiga nacho? au mke wa chagonja kawaingiza usalama wa Taifa?
Acha kutueleza mambo ya mwaka 47 uzembe wa polisi? kwani aliyekuwa na SMG ni askali mmoja tu? ebu tuambie kwa nini polisi wengine hawakuchukua hatua? na kwa nini watoroke hao watuhumiwa muhimu wa kesi kwa hiyo wasipopatikana si ndo kesi itakuwa imekwisha maana ushahidi umetoroka na kupotezwa.Niamini mimi hakuna njama ila ni uzembe wa polisi wenyewe.
habari zisizo rasimi zinadai kuna kiongizi wa cdm arusha ameuwawa. Mwenye ukweli kuhusu hili atuambie kama sio propaganda za watu kitaa.
Mbona kazi ndogo tu ...... kamata hao askari weka ndani washughulikieni mpaka waseme walikowaelekeza kukimbilia na hiyo kesi imefikia hatua gani jamani? Au ndo kusema upelelezi bado wakati mauaji yalishafanyika.... bongo ni bongo tu
Binafsi naamini ni uzembe wa polisi waliokuwa mahakamani leo ndiyo imepelekea hali hii.
kama ile ya N waziri kufumaniwa ,makene ndio alileta uzi kumbe uzushiHivi unafahamu kwamba wewe ni msemaji wa Chama? sasa haya mambo ya tetesi na nafasi yako wapi na wapi? Najuwa fika hili swala linaweza kuwa limetokea ila huoni kuwa kama mseamaji rasmi wa Chama unapaswa kuongea fact?
Hivi Salva Rweyemamu naye atuletee thread ya tetesi hapa JF unategemea tutamnyamazia kimya? No way thread zingine waache waanzishe watu wengine na siyo wewe, ninapoona jina lako nategemea fact tu na siyo tetesi.
sema mahabusu wawili wametoroshwa chini ya uangalizi wa polisi ili kuficha ushahidi
Kama ni kweli,let him rest in peace.Lakin ni wakat muafaka wa kujiuliza hivi vifo hini ni ccm na serikali yake au ni matatizo ya viongozi wa chadema ambao wengine walishawah kuwa watumishi wa Mungu kukaid na kutofuata taratibu na kutumia vifo hivi kama mtaji wa kisiasa?Slaa kanisa lilikushinda kamwe Tanzania hautaiweza!!!Unaweza kumuongoza Sheikh Ponda?thubutu!!!!!!!!!!
Hivi Chadema kuna viongozi?