Mauaji ya Kiongozi wa CHADEMA Arusha: Watuhumiwa watoroka mahakamani mbele ya polisi!

Daudi Balali ametoroshwa kwa style ya kufa akiwa hai so na hawa utasikia wame uwawa na policcm walivyokua wana rushiana risasi!Ila ukweli wapo hai na viroba wana kunywa!Tukisema hili ni jeshi la policcm wata kataa???Hivi wale wanajeshi walio mpa siku 100 dhaifu wako wapi mbina hatuwasomi au ilikua nguvu ya soda???Pambav kabisa policcm aaaah!!!
 
Polisi wote ni majambazi watawezaje kumshikilia jambazi mwenzao? angalieni hata kule Iringa mwisho mtaambiwa yule askali ametoroka, subirini muone.
 
Ama kweli serikali dhaifu kama hii ya ccm ndiyo faida yake kwa asilimia yote tajwa!

Kama hakika ni hivyo mambo yalivyo nina imani ya kwa kwmb hata muuaji wa Daudi Mwangosi atatoweka hivi hivi mbele ya mahakama tukufu ya jamhuri ya muungano!

Ama kweli serikali legelege matunda yake ndiyo haya!
 
makene,
is whether you keep at side or come on stage with party version of statement not hearsays. Tunasubiri press release yako kesho kuhusu hili kama lipo!
 
Vyanzo zaidi vimeweza kutupatia ukweli wa hasa kilichojiri leo mahakamani pale Arusha.

Watuhumiwa wawili wa mauaji ya Mwenyekiti wa CHADEMA Kata ya Usa River, Msafiri Mbwambo, aliyechinjwa kwa kitu kikali mithili ya msumeno, wametoroka mahakamani leo Arusha, mbele ya askari polisi. Itakumbukwa hii kesi inahusisha viongozi aw CCM.

Kama kuonesha kuwa video ya mpango huo isingenoga sana, watuhumiwa hao inasemekana wamemnyang'anya bunduki mmoja wa askari kati ya wengi waliokuwa wakiwalinda. According to the source, Askari waliokuwepo wakishuhudia saga hiyo, wakanogesha zaidi picha kwa kutochukua hatua yoyote, achilia mbali kulinda mali ya jeshi na serikali, hawakumsaidia hata mwenzao wakati anashambuliwa, kunyang'anywa bunduki na kuchaniwa nguo zake, call them uniform.

If that not enough to end the show, bunduki hiyo, according to source, iliokotwa muda mfupi baade ikiwa imetelekezwa. Another game in the making. Wanafikiri wananchi wrote wamelewa banana.

MORE INFO

And the beat if not the show goes on...baadhi ya maaskari waliokuwa 'lindo' wanashikiliwa polisi. Kesho kuna mahafali/shughuli pale CCP, kwa hiyo wakubwa pia wa hawa jamaa wako kwenye mji wa utalii.
Mkuu mimi sioni kosa kwa wewe kusema jambo fulani hata kama ni tetesi.Hata viongozi mbali mbali huweza kuzungumzia jambo ambalo ni tetesi ila cha msingi ni kuweka wazi kama ulivyokuwa umefanya kwamba jambo hili bado halijathibitishwa.Mbona hata vyombo vya habari wakati mwingine hutangaza taarifa na kutoa tahadhari kwamba habari husika bado haijathibitishwa na watu hawashangai? Kwanini sasa wewe iwe nongwa!Nina mashaka na watu wanaokutuhumu na kukushambulia huenda wana sababu zao na zaidi inawezekana zikawa ni sababu za kisiasa.
 
Kama ni ukweli, basi narudia tena hoja yangu ya zamani, ndani ya jeshi la polisi hasa kada ya chini kuna matatizo ama agenda ambazo IGP inapaswa afuatilie kwa karibu sana, tukio kama hili linadhaulisha hata jeshi, haiwezekani askari aliyepitia mafunzo apokonywe silaha kirahisi hivyo tena mchana kweupe mbele ya umati, hakika nchi inaenda kubaya, sijui hawa wanamtumikia nani na nai anawadanganya kiasi hiki. Narudia, kama ni ukweli, basi kuna tatizo katika jeshi la polisi, natamani Lyatonga arudi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani!
 
Liwalo na liwe! Dr Ulimboka akatekwa, siwezi shangaa ni serikali ya baba mwanaasha
 
The joke of the year! Yaani eti ulinzi mkali saaaaana kupeleka mtuhumiwa under 18? ambaye hana makeke wala utata kuwepo kwenye tukio na inajulikana alikuwa mpenzi wa Kanumba (RIP), lakini ulinzi lojoloooojo kwa mtuhumiwa wa mauaji ya kinyama yenye utata mkubwa ya huyu mwenyekiti (RIP) hadi askari kunyangánywa bunduki kisha eti baadaye ikatekelezwa?

Hivi sisi huwa hatuna public hearing mbele ya kitu kama kamati ya bunge kama wenzetu wanavyofanya? Ngoja mje msikie uchunguzi wa kina ulivyoendelea juu ya mauaji ktk ubalozi wa USA Libya. Huwezi kutegemea eti watu wakubali maelezo rahisi rahisi tu kuwa yakiluwa matokeo ya fujo na maandamano juu ya kumkashifu Mtume Mohammad! Kuna viongozi watawajibika!
 
Hivi unafahamu kwamba wewe ni msemaji wa Chama? sasa haya mambo ya tetesi na nafasi yako wapi na wapi? Najuwa fika hili swala linaweza kuwa limetokea ila huoni kuwa kama mseamaji rasmi wa Chama unapaswa kuongea fact?

Hivi Salva Rweyemamu naye atuletee thread ya tetesi hapa JF unategemea tutamnyamazia kimya? No way thread zingine waache waanzishe watu wengine na siyo wewe, ninapoona jina lako nategemea fact tu na siyo tetesi.

Mleta habari hana makosa kabisa fikiria tena mkuu hapa issue ilitokea mahakamani na hata kama anahusu mauaji ya Kiongozi wa Chadema sijaona kama kuna haja ya Chama kutoa tamko kwa sababu watuhumiwa walitoroka wakiwa chini ya ulinzi wa Police so hapa Kamanda katoa uzi kama mtu wa kawaida na sio kichama,waswahili bana kwa kukurupuka wamo kweli kweli duuh!!
 
Mahabusu wawili kati ya sita ambao ni watuhumiwa wa mauaji ya aliyekuwa mwenyekiti wa CDM tawi la USA Arusha wametoroka leo mchana mahamani.

Mahabusu hao wawili ni watuhumiwa wakuu wa mauaji maana katika maelezo yao ya awali walikiri jinsi walivyojishirikisha na mauaji ya marehemu. Itakumbukwa kuna uzi ulishahi kuanzishwa juu ya watuhumiwa wa mauaji ya mwenyekiti CDM wa USA kukamatwa kwa mganga wa kienyeji Sindiga, sasa baadhi ya watuhumiwa hao ndiyo waliotoroka.

Taarifa za awali zinasema walifanikiwa kupora na bunduki moja ambayo baadae waliitelekeza.

MoDs usfute uzi huu, taarifa hizi hazina shaka kabisa kwa mujibu wa chanzo changu makini kilichopo huko Arusha.

Waache wacheze makidamakida ila siku yao itakapofika watajibu wao mashitaka hayo. na baadae tusubiri kupata sinema nyingine ya muuaji wa Mwangosi.
 
Kweli CCM wamedhamiria kuwa Chama kikuu cha upinzani. Hakuwa atayezuia hilo. Mungu ndio kwanza kesha waacha, labda mungu wa wachawi
 
CCM bana, hii ndio sababu inayonifanya to keep my membership card. Last time niliendesha gari, Policcm alinisimamisha na kutaka leseni, nikamwonyeshea kadi ya CCM akaniachia. Bashe na Dr.K wametishiana bunduki, what next? Ditopile alikuwa mtuhumiwa wa mauaji, alipewa dhamana. Mafisadi, wala na wapokea Rushwa. CCM ni chaka la wahalifu
 
Kama ni ukweli, basi narudia tena hoja yangu ya zamani, ndani ya jeshi la polisi hasa kada ya chini kuna matatizo ama agenda ambazo IGP inapaswa afuatilie kwa karibu sana, tukio kama hili linadhaulisha hata jeshi, haiwezekani askari aliyepitia mafunzo apokonywe silaha kirahisi hivyo tena mchana kweupe mbele ya umati, hakika nchi inaenda kubaya, sijui hawa wanamtumikia nani na nai anawadanganya kiasi hiki. Narudia, kama ni ukweli, basi kuna tatizo katika jeshi la polisi, natamani Lyatonga arudi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani!

IGP hawezi kufatilia hili kwa sababu yeye binafsi ni kinara wa kufanya ukada wa CCM kupitia jeshi hili la polisi.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mkuu wangu wote tunaijenga Chadema katika maandalizi ya kuchukuwa dola 2015 na hawa kwa taaluma zao ndio katika mganyo wa majukumu watakuwa wasemaji wa ngazi au idara au Wizara mbalimbali, sasa ni lazima tuanze kuwakosoa mapema kwamba hatuhitaji ubabaishaji, na ndio maana mimi hapa JF hakuna asiyejuwa kwamba namkosoa Zitto Kabwe kwa sababu ninazo sababu za kumkosoa.

Hivi Imagine leo umkute Tumaini Makene naye yupo MMU anashiriki mada ya jinsi ya kumfikisha mwanamke kileleni u think you will take him serious anymore?

Mkuu hapo nilipopafifisha umeniacha hoi!
 
Wakuu tumesikia habari za kutoroka kwa wafungwa wawili wakati wanatoka katika mahakama kuu kanda ya Arusha walipokwenda kusikilizwa kwa kesi yao ya mauaji.

Kulingana na mazingira ya tukio hili huu ni uzembe wa askari aliyekuwa anawalinda (kama ndiyo/sio toa sababu) au wafungwa hao walimzidi akili askari huyu? (kama ndiyo/sio) toa sababu kwa nini unafikiri hivyo.

Haya wana JF tujimwage.
 
Intelgensia inaposhindwa kufanya kazi katka mambo ya maslah kwa taifa na kungangania maslah ya SISIEM.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom