Tumaini Makene
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 2,642
- 6,071
Vyanzo zaidi vimeweza kutupatia ukweli wa hasa kilichojiri leo mahakamani pale Arusha.
Watuhumiwa wawili wa mauaji ya Mwenyekiti wa CHADEMA Kata ya Usa River, Msafiri Mbwambo, aliyechinjwa kwa kitu kikali mithili ya msumeno, wametoroka mahakamani leo Arusha, mbele ya askari polisi. Itakumbukwa hii kesi inahusisha viongozi aw CCM.
Kama kuonesha kuwa video ya mpango huo isingenoga sana, watuhumiwa hao inasemekana wamemnyang'anya bunduki mmoja wa askari kati ya wengi waliokuwa wakiwalinda. According to the source, Askari waliokuwepo wakishuhudia saga hiyo, wakanogesha zaidi picha kwa kutochukua hatua yoyote, achilia mbali kulinda mali ya jeshi na serikali, hawakumsaidia hata mwenzao wakati anashambuliwa, kunyang'anywa bunduki na kuchaniwa nguo zake, call them uniform.
If that not enough to end the show, bunduki hiyo, according to source, iliokotwa muda mfupi baade ikiwa imetelekezwa. Another game in the making. Wanafikiri wananchi wrote wamelewa banana.
MORE INFO
And the beat if not the show goes on...baadhi ya maaskari waliokuwa 'lindo' wanashikiliwa polisi. Kesho kuna mahafali/shughuli pale CCP, kwa hiyo wakubwa pia wa hawa jamaa wako kwenye mji wa utalii.
Watuhumiwa wawili wa mauaji ya Mwenyekiti wa CHADEMA Kata ya Usa River, Msafiri Mbwambo, aliyechinjwa kwa kitu kikali mithili ya msumeno, wametoroka mahakamani leo Arusha, mbele ya askari polisi. Itakumbukwa hii kesi inahusisha viongozi aw CCM.
Kama kuonesha kuwa video ya mpango huo isingenoga sana, watuhumiwa hao inasemekana wamemnyang'anya bunduki mmoja wa askari kati ya wengi waliokuwa wakiwalinda. According to the source, Askari waliokuwepo wakishuhudia saga hiyo, wakanogesha zaidi picha kwa kutochukua hatua yoyote, achilia mbali kulinda mali ya jeshi na serikali, hawakumsaidia hata mwenzao wakati anashambuliwa, kunyang'anywa bunduki na kuchaniwa nguo zake, call them uniform.
If that not enough to end the show, bunduki hiyo, according to source, iliokotwa muda mfupi baade ikiwa imetelekezwa. Another game in the making. Wanafikiri wananchi wrote wamelewa banana.
MORE INFO
And the beat if not the show goes on...baadhi ya maaskari waliokuwa 'lindo' wanashikiliwa polisi. Kesho kuna mahafali/shughuli pale CCP, kwa hiyo wakubwa pia wa hawa jamaa wako kwenye mji wa utalii.