tatizo ya haya mambo,ni pale kundi moja kujiona bora kuliko lingine au kundi moja kujiona linalinyimwa haki,waislam kilio chao kila siku wanadai haki haki haki,haki haiwezi kupatikana kwa kuwaangamiza wakristo au kufuta ukristo duniani,leo hii wachungaji wanapigwa risasi wanamwagiwa tindikali lakini wakristo wanashuka chini wanapiga goti na kumuomba mungu,sheikh ponda alipigwa risasi tena sio kwa kisasi cha wakristo,ni issue zake na bakwata,tz ili shake sana,hakika tunakoelekea si kuzuri.Ole wenu mchangie comment yangu kwa matusi!!