CHAMVIGA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 7,687
- 2,240
Duh that is the dark side of islam. Nadhani hii dini ni kirusi, maani kiingia kwa mtu hakitoki mpaka kimuu au aue wengine na yeye afe. Lakini cha ajabu hawa waisla pia wanatofautiana sana wao kwa wao. Basi bwana inabidi kuzidi kupiga goti kumuomba Mungu aliye wa kweli (siyo ala wao) ili atuepushe hili balaa bongo
propaganda za muamerika na waitifaki wake dhidi ya waislamu na uislamu ndio iliyofikisha ulimwengu wa kuchukiana hapa tulipo. Walifanya ivo kuharibu taswira ya uislamu na waislamu kumbe ndio wakawa wanaupigia kampeni. Na ivoivo propaganda zenu hazitoiacha nchi yetu salama.