Mauaji ya kigaidi Kenya

Mauaji ya kigaidi Kenya

Status
Not open for further replies.

Mudawote

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
11,569
Reaction score
16,029
Great thinkers,
Ukweli tukio la lililotokea Kenya ni la kusikitisha na ni la kulaaniwa na watu wa dini zote. Je suluhisho ni nini? Maana ukiangalia mazingira ya haya mashambulizi ni magumu kuyakwepa haswa kwa familia ambazo tumezoea kwenda mlimani city eti kuvinjarisha familia zetu. Sasa wakija bongo si ndiyo watatumaliza kwelikweli. Mi nashauri:

  1. Misikitini wawafundishe waislam kuwa na upendo kwa watu wasiokuwa waislam. Ili kuepusha mauji ya watu wasiokuwa na hatia
  2. .....

Ongezea au nikosoe,
 
Wafundishwe nn? Matukio yanayotokea ni maagizo ya mtume wao. Waueni wote wasio amini ktk uislam, mungu wao amewapa mamlaka ya kuua! Waislam wengi ni wema lakini sio kwasabab ya misingi ya kitabu chao. It's just they're conscious of being a good human being. Tatizo sio waislam ila kitabu chao na Kama wote wangefuata yaliyoandikwa kwenye hicho kitabu ingekuwa armageddon.
 
Wafundishwe nn? Matukio yanayotokea ni maagizo ya mtume wao. Waueni wote wasio amini ktk uislam, mungu wao amewapa mamlaka ya kuua! Waislam wengi ni wema lakini sio kwasabab ya misingi ya kitabu chao. It's just they're conscious of being a good human being. Tatizo sio waislam ila kitabu chao na Kama wote wangefuata yaliyoandikwa kwenye hicho kitabu ingekuwa armageddon.

Kwa nini Wamerekani wanasupport JEWS huko Israel.Wanajua siku ya kuanguka taifa la Israel,basi dunia hii itasalimishwa kwa sharia ,mchezo wa Al Shabaab,Boko Haram etc ndio utakuwa mchezo wa dunia hii
 
Soma Quran sura ya 9 aya ya 5. Utapata picha kamili ya haya yanayotokea wala usishangae.
 
Haya mashirika ya kidini kwanini yanaruhusiwa kuwepo?
 
Great thinkers,
Ukweli tukio la lililotokea Kenya ni la kusikitisha na ni la kulaaniwa na watu wa dini zote. Je suluhisho ni nini? Maana ukiangalia mazingira ya haya mashambulizi ni magumu kuyakwepa haswa kwa familia ambazo tumezoea kwenda mlimani city eti kuvinjarisha familia zetu. Sasa wakija bongo si ndiyo watatumaliza kwelikweli. Mi nashauri:

  1. Misikitini wawafundishe waislam kuwa na upendo kwa watu wasiokuwa waislam. Ili kuepusha mauji ya watu wasiokuwa na hatia
  2. .....

Ongezea au nikosoe,

Mkuu, unayo sema ni kinyume na maadishi yao.
 
Soma Quran sura ya 9 aya ya 5. Utapata picha kamili ya haya yanayotokea wala usishangae.

Hebu andika hapa inasemaje? Maana si wengine tupo mbali na vitabu hivyo
 
Mbona kama unazoajenda zako na unatumia tukio la Nairobi kutoa ya moyoni kwako, wenyewe wamekwambia wanalipiza kisasi. Jeshi la Kenya liliingia kwao na kuwaua na sasa wamerudi kivingine kulipa dhulma. Msikiti unatoka wapi hapa, kwanini usiziambie serikali zenu zitende haki sawa kwa watu wote na watumie mazungumzo zaidi katika kutatua migogoro kuliko kutumia AK 47 ambazo hazikufaa kokote kule. Muache kushadadia na kuingilia migogoro ya ndani katika nchi nyingine ili raia wenu wawe salama.

Great thinkers,
Ukweli tukio la lililotokea Kenya ni la kusikitisha na ni la kulaaniwa na watu wa dini zote. Je suluhisho ni nini? Maana ukiangalia mazingira ya haya mashambulizi ni magumu kuyakwepa haswa kwa familia ambazo tumezoea kwenda mlimani city eti kuvinjarisha familia zetu. Sasa wakija bongo si ndiyo watatumaliza kwelikweli. Mi nashauri:

  1. Misikitini wawafundishe waislam kuwa na upendo kwa watu wasiokuwa waislam. Ili kuepusha mauji ya watu wasiokuwa na hatia
  2. .....

Ongezea au nikosoe,
 
Great thinkers,
Ukweli tukio la lililotokea Kenya ni la kusikitisha na ni la kulaaniwa na watu wa dini zote. Je suluhisho ni nini? Maana ukiangalia mazingira ya haya mashambulizi ni magumu kuyakwepa haswa kwa familia ambazo tumezoea kwenda mlimani city eti kuvinjarisha familia zetu. Sasa wakija bongo si ndiyo watatumaliza kwelikweli. Mi nashauri:

  1. Misikitini wawafundishe waislam kuwa na upendo kwa watu wasiokuwa waislam. Ili kuepusha mauji ya watu wasiokuwa na hatia
  2. .....

Ongezea au nikosoe,
haitatokea hata siku moja muislamu kumpenda mkristo hata mafundisho hayo yadhaminiwe na mtu aliyekufa halafu akafufuka na kutuhakikishia mungu yupo.

Katika vita vya yugopslavia, marekani iliwaokoa waislamu mamilion waliokuwa wanauwawa na waserb, kubakwa na kukalishwa njaa. halafu marekani ikawasaidia sana kujitenda na kuwa na matifa yao wenyewe, lakini september 11 Osama alivyolipua Trade center, waislamu duniani kote walishangilia na kumuona osama Bin Laden ni mungu mtu!

Hapa miniapolisi, wakimbizi wa kisomalia, husoma bure, kukaa katika magholofa ya kifahari ya rosheni arobaini kwenda juu bure, na kupata mikopo ya bure kwanda vyuo vikuu na kufanyia biashara, lakini wapi, kila ukienda katika mahoteli yao, hukosi kusikia wakiilani marekani na wengine kurudi kwao kujiunga na al shabab ili kuwalipua wamarekani!
 
Kwa nini Wamerekani wanasupport JEWS huko Israel.Wanajua siku ya kuanguka taifa la Israel,basi dunia hii itasalimishwa kwa sharia ,mchezo wa Al Shabaab,Boko Haram etc ndio utakuwa mchezo wa dunia hii
wakristo na wayahudi tunaongozwa na upendo wa Roho mtakatifu. wenzetu waislamu huongozwa na chuki ya roho mtaka fujo.

Ndio maana , muisrael, huwabonda vibaya sana , mpaka kuwanyang'anya ardhi zao, maana kawajua tangia zama za nabii Musa akiwa sinai.
 
wakristo na wayahudi tunaongozwa na upendo wa Roho mtakatifu. wenzetu waislamu huongozwa na chuki ya roho mtaka fujo.

Ndio maana , muisrael, huwabonda vibaya sana , mpaka kuwanyang'anya ardhi zao, maana kawajua tangia zama za nabii Musa akiwa sinai.

Utasema hivo hivo siku ya Qiyamah ! Enh ...
 
Watafuteni kokote wasio amini ktk uislam na waueni! This is their god who taught them.
 
Mbona kama unazoajenda zako na unatumia tukio la Nairobi kutoa ya moyoni kwako, wenyewe wamekwambia wanalipiza kisasi. Jeshi la Kenya liliingia kwao na kuwaua na sasa wamerudi kivingine kulipa dhulma. Msikiti unatoka wapi hapa, kwanini usiziambie serikali zenu zitende haki sawa kwa watu wote na watumie mazungumzo zaidi katika kutatua migogoro kuliko kutumia AK 47 ambazo hazikufaa kokote kule. Muache kushadadia na kuingilia migogoro ya ndani katika nchi nyingine ili raia wenu wawe salama.


soma hii toka BBC

‘All Muslims leave… we only want to kill non-Muslims': Witness reveals how gunmen who massacred at least 20 in Kenyan shopping mall targeted non-Islamics
 
Perhaps If moslem politics and religious leders would vehemently condemn such acts, Issue fatwas against terrorists, the rest of the moslem world would get more compassion and respect and evidently Nairobi masacle would never took place.. Moslem world,They should stop giving tactic approval.
 
haitatokea hata siku moja muislamu kumpenda mkristo hata mafundisho hayo yadhaminiwe na mtu aliyekufa halafu akafufuka na kutuhakikishia mungu yupo.

Katika vita vya yugopslavia, marekani iliwaokoa waislamu mamilion waliokuwa wanauwawa na waserb, kubakwa na kukalishwa njaa. halafu marekani ikawasaidia sana kujitenda na kuwa na matifa yao wenyewe, lakini september 11 Osama alivyolipua Trade center, waislamu duniani kote walishangilia na kumuona osama Bin Laden ni mungu mtu!

Hapa miniapolisi, wakimbizi wa kisomalia, husoma bure, kukaa katika magholofa ya kifahari ya rosheni arobaini kwenda juu bure, na kupata mikopo ya bure kwanda vyuo vikuu na kufanyia biashara, lakini wapi, kila ukienda katika mahoteli yao, hukosi kusikia wakiilani marekani na wengine kurudi kwao kujiunga na al shabab ili kuwalipua wamarekani!

Duh that is the dark side of islam. Nadhani hii dini ni kirusi, maani kiingia kwa mtu hakitoki mpaka kimuu au aue wengine na yeye afe. Lakini cha ajabu hawa waisla pia wanatofautiana sana wao kwa wao. Basi bwana inabidi kuzidi kupiga goti kumuomba Mungu aliye wa kweli (siyo ala wao) ili atuepushe hili balaa bongo
 
Utasema hivo hivo siku ya Qiyamah ! Enh ...

umeona khabari ya mabikra 72 plus watoto wa kiume 28..jamaa wataenda kufaidi

"He [Muhammad] said (in a Hadith, Islamic tradition):
'[There is] a palace of pearls in Paradise and in it seventy courts of ruby... And in each court [there are] seventy houses of green emerald stone. In every house, seventy beds. On every bed, seventy mattresses of every color and on every mattress a woman.' (Hadith)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom