Mauaji ndani ya msikiti wa Chumo

Mauaji ndani ya msikiti wa Chumo

Tatizo ni Bakwata
Hebu wafanye hivo kwa maaskofu na wachungaji
 
WAISLAMU TUNAONGOZA KWA UNAFIKI

OVER
Kama wewe ni mnafiki jiangalie na epuka unafiki maana makazi yako ni kwenye moto mkali wa chini. Vinginevyo ni kweli miaka ya sasa wanafiki wamejaa
 
Mimi sijui na sitetei yeyote, isipokuwa msimamo wangu ni kuwa haki za watu lazima zitunzwe, watu waovu wahukumiwe kwa haki na sio kwa dhuluma. Na ikiwa jambo linagusa public interests basi kama kuna uovu itolewe taarifa kwa umma na tuthibitishiwe uhalifu wao bila kuwepo ya shaka nasi tutaridhika kuwa watu hawa wamepata kilichokuwa haki yao. Naamini kama kweli walifanya upelelezi wa kutosha, bila shaka nyumba za hao watu walikuwa wakizijua na ningetaraji hao watu wangewakamatia majumbani mwao na sio msikitini.
Mkuu unachokisema ni sawa kwa mtizamo wa ufanyaji wa kazi unaodhani utawawezesha kupata kile unachodhan wanatafuta. Lakini wao pia wana mbinu mbadala tofaut na ya kwako na pengine hivo vitu wanatafuta vinahifadhiwa hapo msikitini na sio majumban unakosema wakakamatiwe.

Ninachojiuliza Kilwa mskiti ni mmoja? Kwanini Chamo?

Tambua wakati mwingine serikali hailazimiki kutoa taarifa zilizokusanywa na pia inaweza kukukataza wewe kuwasiliana na mtu yeyote juu ya kile walichokuhoji. Pia wanaweza kukushikilia kwa muda usiojulikani na pengine kukupoteza ikiwa na tisho kwa usalama wa wengi.

Taarifa za kiitelijensia hazitolewi hadharani, wakishajiridhisha wanakupeleka mahakamani. Taarifa au mashtaka utapewa huko lakini sio kuanza kuwaletea taarifa majumbani kwenu
 
Uislam ulitamalaki kwa nguvu ya umoja

Lakini kwa sasa umoja baina ya waislamu hakuna

Tumetenganishwa na mambo ya makundi (madhehebu)

BAKWATA WANAJIONA WAO NDIO WANAHAKI DHIDI YA WAISLAMU
na kazi yao kujikomba kwa watawala tangu nazaliwa sijawahi kuona bakwata wakitoka hadharani kukemea jambo baya zaidi ya kuiipendekeza BAHASHA ZA KAKI MBAYA SANA
Waislam wa Tanzania kuitegemea BAKWATA ni dalili ya kushindwa. BAKWATA ni zao la CCM, ni kama tawi , iweje waislam mara mara mnahangaika na kitu ambacho si chenu. Mimi nashangazwa na taasisi kadhaa zilizo nje ya BAKWATA zinavyosa ushawishi na kuacha waislam waende kama mbuzi waliokosa mchungaji. BARAZA KUU, SHURA YA MAIMAMU NK. Taasisi hizi nyingi zimejikita kwenye siasa badala ya kupigania maslahi ya waumini
 
Yaani inatia uchungu sana kuona kumbe hawa "wenzetu" ambao ni wakristo wana chuki na manyanyaso dhidi ya uislam hapa Tanzania bila sababu yoyote ua msingi.
Wakristo mumeishika nchi tangu uhuru lakini kabla ya hapo historia inajulikana japo haizungumzwi kabsaa.
Wewe jamaa achana na fikra hasi. Waislam hamkuwekeza kwenye elimu dunia mtaitumikiaje dunia? Wenzenu wanapeleka watoto Madarasa ya awali ninyi mnapeleka watoto madrasa kukariri kurhan. Sasa ulitegemea nani ashike nchi na nani abaki mtu wa ibada?

Jitahidi kuelewa na kusomesha watoto wapate elimu zote. Kila jambo na wakat wake.
Lakini pia hili suala lina uhusiano gani na nchi kushikwa na wakristo toka Uhuru? Suala la waliokamatwa msikitini
 
weewee sio wakristo wote, hawa ni wajinga wachache hapa JF , mimi nimeishi community na waislam wakiwa na wakristo na kulikuwa hamna ugomvi wala chuki yoyote za kidini... wajinga wanaomchukia mtu kisa imani yake hawapo kwenye ukristo tu, wapo kwenye uislam pia, ila huwezi ku generalize waislam wote kisa wachache
Naam ni kweli mkuu. Upo sahihi.
 
Mkuu unachokisema ni sawa kwa mtizamo wa ufanyaji wa kazi unaodhani utawawezesha kupata kile unachodhan wanatafuta. Lakini wao pia wana mbinu mbadala tofaut na ya kwako na pengine hivo vitu wanatafuta vinahifadhiwa hapo msikitini na sio majumban unakosema wakakamatiwe.

Ninachojiuliza Kilwa mskiti ni mmoja? Kwanini Chamo?

Tambua wakati mwingine serikali hailazimiki kutoa taarifa zilizokusanywa na pia inaweza kukukataza wewe kuwasiliana na mtu yeyote juu ya kile walichokuhoji. Pia wanaweza kukushikilia kwa muda usiojulikani na pengine kukupoteza ikiwa na tisho kwa usalama wa wengi.

Taarifa za kiitelijensia hazitolewi hadharani, wakishajiridhisha wanakupeleka mahakamani. Taarifa au mashtaka utapewa huko lakini sio kuanza kuwaletea taarifa majumbani kwenu
Umeongea sawa kabisa
 
Hivi swala la Karate misikitini huwa lipo kweli,au ni just rumors tu?
Kama zipo kweli, je ni sahihi mahala hapo kufanyia karate ?
Haya mambo nafikiri nayajua A~Z moyoni, lkn wacha ninyuti - Nafsi huwa haidanganyi
 
Aiseeeee. Napita nikiwa na mikono nyuma ya bukta
 
Hivyo muitumie dhamana hiyo vizuri kwa kutenda haki kwa watu wa makundi yote kwa kua ninyi ni binaadam na mkumbuke kua kuna maisha baada ya Dunia ambayo yataamuliwa na matendo yenu hapa Duniani aidha Peponi au Jahannam (Motoni)

kweli kabisa! umenigusa! natumaini kwamba hayo maneno yatawagusa hao polisi uliowalenga!
 
Tatizo hatuumgani tunajitenga na mkifanyiwa nyie ndio mnalalamika...hapa sio waislamu tu wanaofanyiwa ukatili au uonevu. Ni watu makundi yote bila kujali dininkabila....sema ndio yakiwatokea kundi fulani mtanyamaza..rai yangu ni kuungana jamii yote sasa kukemea hayo...taasisi zote dini Ote ziungane..tusijitenge mpaka wakiguswa kunDi fulani.....tumefika pabaya sa hv si dini tu ila ni zaidi yani ukiwa muongeaji au unahoji unauliza UtakiPata...polisi WaoNevu Sana na wanatunwa na wana siasa..au wababe wachache
 
Kwani ukiwepo msikitini shida iko wapi?kwani nchii hii ina mda wa kua sehem maalum kwa mda maa
lumu?acha unafki na kushadadia mambo mabaya kwakua hayajakukuta...
Wakimaliza kwetu wanakuja kwako....
Sell said....hiyo kaongea tu kishabiki au kihisia kabla inabidi ajue watu wana shuguli zao na sa hv hata ukiwa chooninutadakwa utapotea...sio lazi a uwe msikitini au kansani au kazini...yani popote wasiojulikana wana wewe
 
Waliotoroka Kibiti/Amboni/Kidatu watafuteni kokote walikofichwa piga saga saga kabisa virusi hao over. JESHI LETU TIMIZA WAJIBU WENU, waliotaka Mauaji ya Kibiti yaendelee mtajaua tu.
 
Back
Top Bottom