Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,524
- 14,199
Mtakayoamua na myaamue nami nitawaunga mkono.“Jeshi letu la polisi liko imara kulinda usalama wa nchi raia na mali zao, endeleeni kufanya kazi nami nipo nyuma yenu” -Baba mwenye nyumba
Mtakayoamua na myaamue nami nitawaunga mkono.“Jeshi letu la polisi liko imara kulinda usalama wa nchi raia na mali zao, endeleeni kufanya kazi nami nipo nyuma yenu” -Baba mwenye nyumba
Mimi ni muislam lakini katika hili lazima iwekwe wazi kwamba saa saba usiku waumini walikuwa wanafanya nini msikitini?Kwani ukiwepo msikitini shida iko wapi?kwani nchii hii ina mda wa kua sehem maalum kwa mda maa
lumu?acha unafki na kushadadia mambo mabaya kwakua hayajakukuta...
Wakimaliza kwetu wanakuja kwako....
You are a fundamentalist and fundamentalism is a straight jacketLook at you!! That's why nikakuambia you're talking nonsense!
Awali nimezungumzia habari za dictatorship and possibly you know less about me!! Been criticizing JPM's dictatorship style since then!
Lakini wakati nimezungumzia dictatorship, ukaleta habari za flyover! Does it add up?
Umehama kwenye flyover, unaleta habari za kutetea Uislamu!
Tundu Lissu niliyemuongelea ni Mwislamu?
Ben Saanane ni Mwislamu?
Mwandishi wa Mwananchi Communication ni Mwislamu?
Viongozi wa dini niliosema wanahojiwa uraia wao ni Waislamu?
Unadai Mwislamu gani mimi natukana hovyo! Narudia; what you're writing is NONSENSE! Where did I say i'm Muslim?
Btw; hivi ni mtu wa namna gani wewe unaibuka from nowhere unamwambia mwenzako alichoandika ni utumbo wa nguruwe? Au ndivyo ulivyofunzwa kwenu hivyo?
USIJIFANYE UNANIJUA wakati you know nothing about me!
Usifikiri dhulma hii itaendelea kwa waislamu peke yao milele. Ipo siku dhulma hii itahamia kwengine pengine upande wako. Tujitahidi sana kujiepusha kushangilia wanapotendewa wenzetu yale ambayo lau kama tungetendewa sisi tusingependa.Na mpigwe tu maana hakuna namna....
Mmezidi kucheza ma-karate misikitini badala ya kuswali.
Imekuwa kawaida kuwafundisha vijana wetu mashuleni judo na karate, kutumia majambia, na siku hizi mpaka meditation mnafanya ndani ya masjidi za mashule.
Mimi narudia kauli ya Pinda aliposema
"Na wapigwe tu"
aiseeee.Acheni unafiki. Saa saba usiku mlikua mnafanya nini mskitini kama sio uhuni ?
Waislamu pia wana swala za usiku kama yalivyo baadhi ya makanisa ambao huwa wanamikesha. Sina hakika kama mikesha ya makanisani ni uhuni.Acheni unafiki. Saa saba usiku mlikua mnafanya nini mskitini kama sio uhuni ?
sina hakika kama ww ni muislamu. Hivi swala za tahajud unaelewa maana yake? Kifupi ni kuwa ktk uislam kuna swala za usiku ambazo ni sunna. Kawaulize walimu wakoMimi ni muislam lakini katika hili lazima iwekwe wazi kwamba saa saba usiku waumini walikuwa wanafanya nini msikitini?
Nalaani mtindo huu wa jeshi la polisi kutenda kazi zao hovyo hovyo.
Well saidJuzi Tundu Lissu kafanyiwa operesheni ya 20 baada ya kunyeshewa mvua ya risasI...
Mwaka mmoja unusu umetimia na Ben Saanane haijulikani alike
Ni takribani miezi 4 sasa Mwandishi wa Mwananchi Communications haijulikani alipo
Itoshe tu kusema kwamba; haya mambo hayana mmoja! Chuki zako za kidini zinaweza kukufanya uone hao ni magaidi ya Kiislamu yacheza karate misikitini lakini hao niliokutajia sijui wanacheza karate misikiti ipi!
Tumeshuhudia hata viongozi wa Kikristo wakihojiwa uraia wao mwaka huu kwa sababu za kijinga kabisa!
PUNGUZA CHUKI ZA KIDINI...
Maneno ya kipumbavu ya kuunga mkono mauaji na manyanyaso wanayofanyiwa hawa waislamu na maiti zote zilizo okotea kwenye maviroba ni waislamu waliouliwaImezuka tabia ya waislam kusolist pesa uharabuni kwa kisingizio chakuunda na kuimarisha vikundi vya kutetea Uislam. ambapo kiukweli vikundi hivi ndivyo vinazaa ugaid watu wanafundishwa mambo kinyume na maagizo ya quran kwa maslahi ya watu wenye tamaa ya fedha na mali na hivyo kuchangia uvunjifu wa amani maeneo mbalimbali duniani. hivyo serikali fanyeni kazi yenu msiyumbishwe na itikadi ya mtu. kama kuna hivyo vikundi hakikisheni mnavisambaratisha watu warudi mashambani wakalime wafanye kazi sio kulala na kuishi maeneo ya ibada. Tukinyamaza tukaendelea kumfuga chatu siku akianza kula watu tusipige kelele maana tumemfuga wenyewe.
Kuwatesa na kuua waumini eti kwakuwa umewakuta msikitini usiku siyo utetezi. Uislsmu una ibada za usiku " KIAMLAILI". Pia misikitini ndipo wanapofikia kulala watu TABLIH. Lakini kama alivyoandika chige, wale wanaodai ni ugaidi waseme juu Ben Saanane na Tundu Lissu nao ni Magaidi?Mimi ni muislam lakini katika hili lazima iwekwe wazi kwamba saa saba usiku waumini walikuwa wanafanya nini msikitini?
Nalaani mtindo huu wa jeshi la polisi kutenda kazi zao hovyo hovyo.
Thibitisha?Na mpigwe tu maana hakuna namna....
Mmezidi kucheza ma-karate misikitini badala ya kuswali.
Imekuwa kawaida kuwafundisha vijana wetu mashuleni judo na karate, kutumia majambia, na siku hizi mpaka meditation mnafanya ndani ya masjidi za mashule.
Mimi narudia kauli ya Pinda aliposema
"Na wapigwe tu"
Mbona wakristo huwa tunafanya mikesha kila siku? Tena wengine wanafanya hadi makambi mwezi mzimaAcheni unafiki. Saa saba usiku mlikua mnafanya nini mskitini kama sio uhuni ?
Na mpigwe tu maana hakuna namna....
Mmezidi kucheza ma-karate misikitini badala ya kuswali.
Imekuwa kawaida kuwafundisha vijana wetu mashuleni judo na karate, kutumia majambia, na siku hizi mpaka meditation mnafanya ndani ya masjidi za mashule.
Mimi narudia kauli ya Pinda aliposema
"Na wapigwe tu"
Tatizo ni mfumo wa jeshi la polisi. Polisi ni msimamizi na mwangalizi wa sheria. Ukimweka kijana aliyefeli form 4 unategemea atakuwa msimamizi mzuri wa sheria? Jeshi la polisi lingeundwa na wasomi ya ngazi ya degree na hawa form 4 failures wangepelekwa jwtz. Km mtu kashindwa kujisimamia mwenyewe unategemea akusimamie ww? NeverMleta uzi umeongea vema sana tena kwa upole na upendo japo umeleta ujumbe mzito na wa kuumiza moyo.
Tunakoelekea sio salama tusipobadilika kama taifa na viongozi wenye dhamana
Umemaliza?Na mpigwe tu maana hakuna namna....
Mmezidi kucheza ma-karate misikitini badala ya kuswali.
Imekuwa kawaida kuwafundisha vijana wetu mashuleni judo na karate, kutumia majambia, na siku hizi mpaka meditation mnafanya ndani ya masjidi za mashule.
Mimi narudia kauli ya Pinda aliposema
"Na wapigwe tu"