Wanaswali qiyamlahilAcheni unafiki. Saa saba usiku mlikua mnafanya nini mskitini?
Hawezi kukuelewa kamwe. Mbona kanisani kuna mikesha hajiulizi hilo? Huyo ni wale wale wanaofurahia uharifu dhidi ya binadamuKuna ibada za usiki wa manane kama Tahhajjudi