Mama_Aheshimiwe
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,746
- 4,170
BORA UNYAMAZE
Huna ujualo
Huna ujualo
Sioni ulichoandika hapo. Ni utumbo wa nguruwe ndio naona hapo. Serikali hii ya awamu ya 5 unaiita ya kidkteta ? Kikwete alituambia. Wakitaka kuichafua serikali. Waonyeshe fly over. SRG. Viwanja vya ndege. Dawa hospitalini. Elimu bure etc
Chige unajitia kuutetea uislamu wakati hata juzuu 3 hujamaliza. Little knowledge is poison. Wewe ndio wale tunaokutana nao Kimara kwenye viti moto halafu huku mkisema ya Kimara tuyaache Kimara. Muislam gani wewe unatukana ovyo ovyo. Uislamu wa kweli ni uungwana. Usafi. Usomi. Utanashati etc
You are a fundamentalist and fundamentalism is a straight jacket