Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,024
- 1,616
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Kenani Kihongosi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Urambo. Anachukua nafasi ya Said Mohamed Mtanda ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara
Aidha, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Queen Cuthbert Sendiga amehamishwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara. Anachukua nafasi ya Charles Makongoro Nyerere ambaye amehamishiwa Mkoa wa Rukwa
Aidha, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Queen Cuthbert Sendiga amehamishwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara. Anachukua nafasi ya Charles Makongoro Nyerere ambaye amehamishiwa Mkoa wa Rukwa