Matusi Redioni

Matusi Redioni

Preta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2009
Posts
24,320
Reaction score
18,875
Leo nilikuwa nasikiliza kipindi cha jahazi Clouds Fm, Kibonde, Kayanda na Wasiwasi walikuwa wanajadili kuhusu kufa kwa ATC, mjadala umeenda vizuri japo Kibonde alikuwa anaonekana mwenye jazba sana.......kilichonishangaza ni pale alipojidai kuwa ana machungu sana na kufikia hatua ya kutoa tusi la nguoni (k****m***m**k**)nadhani watu wazima mmenielewa, Hata wenzie aliokuwa nao niliwasikia wakicheka kichinichini kwa mshtuko walioupata na simu zikipigwa mfululizo,sasa linakuja swala la je....Clouds FM imekuwa ya kihuni namna hii kiasi ambacho imeanza kutoa matusi ya nguoni?
Nadhani kuna mliokuwa mnasikiliza pia,mtakubaliana na mimi. Kwa kweli ni fedheha.
 
Hii radio bana...haya ngoja tusikie TCRA watasema hawakusikia
 
hiyo redio huwa sisikilizi nowadayz huyo kibonde nilishauliza anapitiaga bar kwanza
coz ana mambo ya hovyohovyo allah ndo ajuaye na ndo sisikilizi tena :smash::A S thumbs_down:
 
hiyo redio huwa sisikilizi nowadayz huyo kibonde nilishauliza anapitiaga bar kwanza
coz ana mambo ya hovyohovyo allah ndo ajuaye na ndo sisikilizi tena :smash::A S thumbs_down:

Ni aibu sana, Kusaga asipokuwa makini na huyu mtu redio yake itakosa wasikilizaji, sio sehemu zote ni wabaya lakini ajitahidi kurekebisha pia na kule kwenye kasoro. Kila siku lawama kwa Kibonde haziishi, mimi nilikuwa nasikiliza na nilikuwa namuona ana mapungufu lakini sikuwa nachukulia kihivyo....but leo nimegundua Kibonde ana walakini....nilidhani anasingiziwa
 
Nilisikiliza lakini bahati mbaya au nzuri nilihama kabla ya hiyo scene, lakini kibonde si kati ya presenters ninaowakubali, akili yangu inaniambia ni mtu wa kujipendekeza kwa watu fulani, mimi husikiliza power breakfast angalau namwona hando anajua anachofanya, akiwa na co wake barbara, namkubali pia PJ wakati wa kuperuzi na kudadis. Bonge naye namuona yuko decent. Huyo kibonde kaeni naye wenyewe.
 
Mpende msipende, mkubali msikubali Kibonde yuko juu. Nina uhakika kabisa kama Tanzania tungekuwa na mfumo mzuri wa listener ratings basi kipindi cha Jahazi kingekuwa kiko juu sana katika muda wake kinapokuwa hewani (saa kumi mpaka saa moja jioni).

Kama kweli Kibonde angekuwa mbovu kama ambavyo wachache wenu mnavyotaka watu waamini basi nina uhakika kabisa wasikilizaji wa kipindi hicho wangekuwa wameshapungua tokea zamani.

Lakini inavyoelekea ni kinyume chake. Ili mtu uweze kujua na kumkasirikia kuwa leo kasema nini ni lazima u tune in kwenye kipindi cha Jahazi. Bila kumsikiliza utajuaje na (kujifanya) kukasirikia kile alichosema?

Kibonde kaza buti mwana. Uko juu. Simamia kile unachokiamini na usichoke wala kutishika kutoa maoni yako kwani wewe siyo reporter wala news anchor. Wewe ni commentator. Fani ya utangazaji kama commentator inakupa uhuru wa kutoa maoni yako kinyume na ilivyo wasomaji na waandishi wa habari ambao wanatakiwa kuandika na ku report facts.

Just remember this my brother. Don't let the haters faze you. Make your haters your motivators by becoming the number one hater aggravator in the whole wide world. I got your back son. Keep up the good work.
 
Leo nilikuwa nasikiliza kipindi cha jahazi Clouds Fm, Kibonde, Kayanda na Wasiwasi walikuwa wanajadili kuhusu kufa kwa ATC, mjadala umeenda vizuri japo Kibonde alikuwa anaonekana mwenye jazba sana.......kilichonishangaza ni pale alipojidai kuwa ana machungu sana na kufikia hatua ya kutoa tusi la nguoni (k****m***m**k**)nadhani watu wazima mmenielewa, Hata wenzie aliokuwa nao niliwasikia wakicheka kichinichini kwa mshtuko walioupata na simu zikipigwa mfululizo,sasa linakuja swala la je....Clouds FM imekuwa ya kihuni namna hii kiasi ambacho imeanza kutoa matusi ya nguoni?
Nadhani kuna mliokuwa mnasikiliza pia,mtakubaliana na mimi. Kwa kweli ni fedheha.

Acha uongo, hata mimi pia nimesikiliza, hakuna sehem aliyotukana kama unavosema, hata kama angelikua ni mjinga kiasi gani asingeweza kutukana hilo tusi on air, punguza chuki.
 
Acha uongo, hata mimi pia nimesikiliza, hakuna sehem aliyotukana kama unavosema, hata kama angelikua ni mjinga kiasi gani asingeweza kutukana hilo tusi on air, punguza chuki.

no no no.....Kibonde simchukii kwa sababu hata nikimchukia simjui, na isitoshe mimi ni mpenzi sana wa kusikiliza Clouds, na inakuwaje leo kwa sababu nimemchukia nije niseme kuwa Kibonde ametukana wakati ni uongo?........
 
Kama kweli katoa hilo tusi, basi hoja kama hii itatokea pia kwenye media nyinginezo, nakuwa mzito kuamini moja kwa moja kama kweli katukana live.
 
no no no.....Kibonde simchukii kwa sababu hata nikimchukia simjui, na isitoshe mimi ni mpenzi sana wa kusikiliza Clouds, na inakuwaje leo kwa sababu nimemchukia nije niseme kuwa Kibonde ametukana wakati ni uongo?........

Wabongo ndio zetu....mtu akikosolewa/semwa basi HAPENDWI!Yani kila kitu watasema ni chuki....ndo maana hatuendelei!
 
Acha uongo, hata mimi pia nimesikiliza, hakuna sehem aliyotukana kama unavosema, hata kama angelikua ni mjinga kiasi gani asingeweza kutukana hilo tusi on air, punguza chuki.

amekutuma uje kumtetea? au ndio wewe mwenyewe kibonde unataka kujisafisha?tumesikiliza jahazi na tumemsikia akitoa tusi, jamaa la hovyo sana lile
 
kwa mujibu wa baadhi ya wachangiaji wa uzi huu, hata humu ndani mna Vibonde kibao ama wapambe wake. poor We!
 
Ni kweli katukana nimesikia,na wenzake wakacheka sana.
Naona Preta kanizidi spidi,nilikuwa nataka niweke hii taarifa.
 
Acha uongo, hata mimi pia nimesikiliza, hakuna sehem aliyotukana kama unavosema, hata kama angelikua ni mjinga kiasi gani asingeweza kutukana hilo tusi on air, punguza chuki.
Shimo la taka ngumu.
 
Mpende msipende, mkubali msikubali Kibonde yuko juu. Nina uhakika kabisa kama Tanzania tungekuwa na mfumo mzuri wa listener ratings basi kipindi cha Jahazi kingekuwa kiko juu sana katika muda wake kinapokuwa hewani (saa kumi mpaka saa moja jioni).

Kama kweli Kibonde angekuwa mbovu kama ambavyo wachache wenu mnavyotaka watu waamini basi nina uhakika kabisa wasikilizaji wa kipindi hicho wangekuwa wameshapungua tokea zamani.

Lakini inavyoelekea ni kinyume chake. Ili mtu uweze kujua na kumkasirikia kuwa leo kasema nini ni lazima u tune in kwenye kipindi cha Jahazi. Bila kumsikiliza utajuaje na (kujifanya) kukasirikia kile alichosema?

Kibonde kaza buti mwana. Uko juu. Simamia kile unachokiamini na usichoke wala kutishika kutoa maoni yako kwani wewe siyo reporter wala news anchor. Wewe ni commentator. Fani ya utangazaji kama commentator inakupa uhuru wa kutoa maoni yako kinyume na ilivyo wasomaji na waandishi wa habari ambao wanatakiwa kuandika na ku report facts.

Just remember this my brother. Don’t let the haters faze you. Make your haters your motivators by becoming the number one hater aggravator in the whole wide world. I got your back son. Keep up the good work.

Hata KIU na magazeti mengine ya udaku yanasomwa na watu wengi kuliko Financial Times. Lakini hiyo haina maana kuwa hayo ni magazeti makini au ni kwa watu makini (japo mtu makini anaweza kuyasoma kwa sababu zake binafsi) kuliko Financial Times. Mwambie Kibonde aandike "article" juu ya maada yeyote ya kijamii (amekuwa kwenye mambo ya habari muda mrefu kwa hiyo anatakiwa awe na uelewa wa kawaida wa mambo yanayoihisu jamii) na aiwakilishe mahali - kwa mfano mdahalo wa kitaifa (achilia mbali wa kimataifa) uone kama itapita awamu ya kwanza ya mchujo.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Kibonde nilimsikia kwa maskio yangu akishabikia kulipwa la deni Dowans, akidai sio ishu kwani watanzania mil. 40 tukichanga buku 2 kila kichwa inakaribia kulipa deni, akaja akadai tena madai ya wanaUDSM ya kuongezewa boom hayana msingi kwani wanafunzi wa pale ni walevi, wazinifu na wapenda xtarehe, kwa ujumla ana hulka ya kujipendekeza kwa watawala. Jumlisha na haya ya matusi... Mh?
 
Hata KIU na magazeti mengine ya udaku yanasomwa na watu wengi kuliko Financial Times. Lakini hiyo haina maana kuwa hayo ni magazeti makini au ni kwa watu makini (japo mtu makini anaweza kuyasoma kwa sababu zake binafsi) kuliko Financial Times. Mwambie Kibonde aandike "article" juu ya maada yeyote ya kijamii (amekuwa kwenye mambo ya habari muda mrefu kwa hiyo anatakiwa awe na uelewa wa kawaida wa mambo yanayoihisu jamii) na aiwakilishe mahali - kwa mfano mdahalo wa kitaifa (achilia mbali wa kimataifa) uone kama itapita awamu ya kwanza ya mchujo.

Anza wewe kuandika hiyo atiko...
 
amekutuma uje kumtetea? au ndio wewe mwenyewe kibonde unataka kujisafisha?tumesikiliza jahazi na tumemsikia akitoa tusi, jamaa la hovyo sana lile

Ni kweli katukana nimesikia,na wenzake wakacheka sana.
Naona Preta kanizidi spidi,nilikuwa nataka niweke hii taarifa.

Inaelekea redio tulizokuwa tunasikiliza ni za mbao na zinamchukia Kibonde
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom