Afadhali vifo vya kudai HAKI kuliko kutekana na kuuwana kipumbavuHii ni aibu kubwa kwa wote wanaopigania ule uhuru usio na mipaka au heshima.
Hii ni demokrasia gani inayoleta maafa na chaos?
Unataka uhuru kama wa wapi?Kupanga ni kuchagua,uhuru kama wa wakenya hapana
Hauwezi kuwa imported toka kokote,kila watu wataishi kulingana na namna yaoUnataka uhuru kama wa wapi?
Nakubaliana na wewe. Kuna mambo ya kipumbavu sana wazungu wanayo na kisa wana hela wanamaendeleo ya vitu basi tunafikiri maendeleo yao yamesababishwa na "demokrasia".Hii ni aibu kubwa kwa wote wanaopigania ule uhuru usio na mipaka au heshima.
Hii ni demokrasia gani inayoleta maafa na chaos?
Waendelee kufa kama kuku😁Mimi nawapongeza Wakenya kwa demokrasia yao iliyokomaa. Na nawashauri ikiwezekana wawe wanaandamana kila wiki na itapendeza kila siku hiyo ya maandamano vifo viwe vinaongezeka ili kuendelea kukuza na kuimarisha demokrasia nchini mwao!!!
Hapo haujafa wewe. unajiliza Waache wapambanie haki.Wewe kaa umenye magimbi.Hii ni aibu kubwa kwa wote wanaopigania ule uhuru usio na mipaka au heshima.
Hii ni demokrasia gani inayoleta maafa na chaos?
Hiyo huwa inadumisha sana demokrasia!😁😁😁😁Waendelee kufa kama kuku😁
uliingia ikulu watu wakikushangilia tena wengine wanakubeba kwenye mkokoteni, hakuna aliyetolewa damu wala kamasi, sasa unanganganiaje ikulu? kwanini upige watu risasi ili ubaki ikulu? hata kagame hajapiga mtu risasi abaki ikulu japo aliingia kwa mtutu, mbebeni kwa mkokoteni mumpeleke mliko mtoaHii ni aibu kubwa kwa wote wanaopigania ule uhuru usio na mipaka au heshima.
Hii ni demokrasia gani inayoleta maafa na chaos?