Matunda matatu yasiyopatikana kiholela mjini

Matunda matatu yasiyopatikana kiholela mjini

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
57,243
Reaction score
90,302
Haya matunda ukiwa mjini unaweza usiyale miaka kadhaa.
20250717_232548.jpg
20250717_232911.jpg
20250717_233459.jpg
 
Haya matunda ukiwa mjini unaweza usiyale miaka kadhaa.
View attachment 3409272View attachment 3409273View attachment 3409274
Haya namba 3 watu huyaita matunda damu. Haya hupatikana kwa wingi sana huko Dar kipindi cha msimu wake.
Hayo ya katikati ni mafyulisi (Peach) hayo utayala sana ukiwa Tukutu na Mbeya. Mjini kuinekana ni kwa darubini sana. Ni matunda mazuri mno. Kuna kipindi kulikuwa na zile juice za maboksi kutoka Afrique du Sud, zilikuwa zinatengenezwa na hayo matunda...zile juice waa next level. Sijui kama bado mnaletewa.

Hayo mengine ya kwanza hapo juu yanapatikana sana maprini huko Tukuyu, nilijaribu kuyaelewa nikashindwa. Nashanga ukienda Ndarisalama yamefanywa ni ya kishua
 
Back
Top Bottom