Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 10,651
- 22,817
Sijaona Apple katika hizo picha tatu.Mkuu apple mbona lipo daily
Sijaona Apple katika hizo picha tatu.Mkuu apple mbona lipo daily
😆😆😆 hapo sawa mkuu na linafanana na AppleHaha! kweli hayapatikani mkuu hiyo ya pili sio apple ni peach
sungwi ni ndogondogo zikiiva zinakuwa nyeusi halafu ni kama zina uchachu ama ukali kidogo sana na utamu kidogo.Labda nazijua ila sio kwa hii lugha yenu
kaona cherry anadhani ni appleHakuna apple hapo
Haya yapo kibao mbona?haya yanakuwaga gheto.. kwa kazi maalum View attachment 3409293
Sawa ila hayo kwenye picha sio apple na hayauzi moja jero bali Hua yanauzwa kwa mafungu, hua nayaona Kariakoo MsimbaziMkuu kila nikipita mjini nayaona mengi tu na uwa nanunua moja kwa jero
hayaishagi gheto kwangu.. Bora maji yaishe sio haya 😊😎Haya yapo kibao mbona?
Sema hela yako tu, ki kontena ni sh 9,000
Matunda damu yanauzwa mpaka jero jero yakiwa kwenye kimfumo tena yanakuwa 6Haya namba 3 watu huyaita matunda damu. Haya hupatikana kwa wingi sana huko Dar kipindi cha msimu wake.
Hayo ya katikati ni mafyulisi (Peach) hayo utayala sana ukiwa Tukutu na Mbeya. Mjini kuinekana ni kwa darubini sana. Ni matunda mazuri mno. Kuna kipindi kulikuwa na zile juice za maboksi kutoka Afrique du Sud, zilikuwa zinatengenezwa na hayo matunda...zile juice waa next level. Sijui kama bado mnaletewa.
Hayo mengine ya kwanza hapo juu yanapatikana sana maprini huko Tukuyu, nilijaribu kuyaelewa nikashindwa. Nashanga ukienda Ndarisalama yamefanywa ni ya kishua
Mkuu apple mbona lipo daily
Sio apple hilo. Mikoa ya iringa na njombe wanaita matunda nyanya sijajua jina lake halisi linaitwajeMkuu apple mbona lipo daily
AKA Ntalali mboka moja hioNsungwi unazijua?
Haya matunda ukiwa mjini unaweza usiyale miaka kadhaa.
View attachment 3409272View attachment 3409273View attachment 3409274
Hamna apple hapoMkuu apple mbona lipo daily
1.MikusuHaya matunda ukiwa mjini unaweza usiyale miaka kadhaa.
View attachment 3409272View attachment 3409273View attachment 3409274
hakuna anaenda kununua MATUNDA kkoo ukipita hiyo mitaa unakutana na vitorori zina hizo bidhaa unasimama unanunua kwenda kuvilaNi watu wachache wanaenda kununua matunda Kariakoo