i pad3
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,518
- 378
the writings in the wall...............
unamaanisha nini mkuu
the writings in the wall...............
maandishi yapo ukutani
yasome tu
dah!! u mean nimeingia choo cha kike? let say ingekuwa wewe ungefanya nini.....? i really need your support guys
find a new hobby
women can be a source of stress and unhealthy life
Duuh ex anaendelea kula kisela. Amka kiongozi. Ila kushika simu za wapenz wenu na kuzichunguza matokeo yake ndo hayo, utawaacha wangapi??
kwa hio usiposhika si ndio watakula hadi mifupa na wewe upo upo tu unakaa kizembe
nikweli, but what matter is your goal with huyo mpnz wako, kama kuja kuoana sawa unahaki lakn kama kukua tu thn mnaachana bora usichunguze sana.
nataka kumuoa ndio maana
Basi inatakiwa umuweke chini na kuyaweka sawa yale ambayo mnadhan hayataleta hofu ya usaliti juuyenu then muyafanyie kazi ili kuondoa migongano baina yenu, "NEVER SAY GOODBYE IF YOU STIL WANT TO TRY"...
Labda sms ilikuwa inasema 'baby thanks giving me another chance to explore your naked bady.it waz a nice game,can we have some more fun next w/end?'mh.
Huyu msichana nampenda sana tena sana na yeye ananipenda ..huwa sipendagi kushika simu yake ila kuna siku nilishika simu yake akaichukua ghafla akafuta meseji nikamuuliza kwa nini amefuta akasema kuwa imetoka kwa ex wake na hakutaka niione..sasa nimwache aendelee kuwasiliana na ex wake ama nifanyeje?
dah!! u mean nimeingia choo cha kike? let say ingekuwa wewe ungefanya nini.....? i really need your support guys
Huyu msichana nampenda sana tena sana na yeye ananipenda ..huwa sipendagi kushika simu yake ila kuna siku nilishika simu yake akaichukua ghafla akafuta meseji nikamuuliza kwa nini amefuta akasema kuwa imetoka kwa ex wake na hakutaka niione..sasa nimwache aendelee kuwasiliana na ex wake ama nifanyeje?
updates!
Jamani huyu msichana kweli anayo nia njema na mimi kweli? tar 26 nilimkataza asiwasiliane na ex wake huyo bila ya kunihusha akanielewa sasa tar 29 akambeep huyo ex wake wakawa wanachati kwenye yahoo.. ..
na wameahidiana kutumiana meseji ili wawe wanachati huko yahoomessenger
kweli huyu mdada ana nia njema na mimi kweli?halafu kial saa ananinunia nikimuuliza kuhusu huyo ex wake anakuwa kama mbogo ananuna mpaka basi..eti wadau hapa kuna maisha kweli hapa??
naomba kama una matusi uachane na thread yangu nahitaji ushauri na wala sio kebehi. najua sio vizuri kukagau vitu vya mpenzi wako ila ukiona kuna kitu kimebadiliak naona ni vema kukagua .. nafanya hivi kwani natyaka nioe na huu ndio umri wangu wa kuoa so sitaki niingie mkenge .
Regards!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
updates!!
huyu mrembo nimekutana naye leo tukakaa sehemu nikamuuliza
hence nimeshapewa jibu ..i m supposed to read between lines
Huyu msichana nampenda sana tena sana na yeye ananipenda ..huwa sipendagi kushika simu yake ila kuna siku nilishika simu yake akaichukua ghafla akafuta meseji nikamuuliza kwa nini amefuta akasema kuwa imetoka kwa ex wake na hakutaka niione..sasa nimwache aendelee kuwasiliana na ex wake ama nifanyeje?
Huyu msichana nampenda sana tena sana na yeye ananipenda ..huwa sipendagi kushika simu yake ila kuna siku nilishika simu yake akaichukua ghafla akafuta meseji nikamuuliza kwa nini amefuta akasema kuwa imetoka kwa ex wake na hakutaka niione..sasa nimwache aendelee kuwasiliana na ex wake ama nifanyeje?
updates!
Jamani huyu msichana kweli anayo nia njema na mimi kweli? tar 26 nilimkataza asiwasiliane na ex wake huyo bila ya kunihusha akanielewa sasa tar 29 akambeep huyo ex wake wakawa wanachati kwenye yahoo.. ..
na wameahidiana kutumiana meseji ili wawe wanachati huko yahoomessenger
kweli huyu mdada ana nia njema na mimi kweli?halafu kial saa ananinunia nikimuuliza kuhusu huyo ex wake anakuwa kama mbogo ananuna mpaka basi..eti wadau hapa kuna maisha kweli hapa??
naomba kama una matusi uachane na thread yangu nahitaji ushauri na wala sio kebehi. najua sio vizuri kukagau vitu vya mpenzi wako ila ukiona kuna kitu kimebadiliak naona ni vema kukagua .. nafanya hivi kwani natyaka nioe na huu ndio umri wangu wa kuoa so sitaki niingie mkenge .
Regards!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
updates!!
huyu mrembo nimekutana naye leo tukakaa sehemu nikamuuliza
hence nimeshapewa jibu ..i m supposed to read between lines