i pad3
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,518
- 378
Hebu tafuta thread 1 niliweka hapa heading yake
,Sikumbuki ushujaa ule ulitoka wapi,
Soma hii thread utajua mimi nlifanya nini kwa inshu kama hiyo yako,
Poa mtu wangu ..ngoja niitafute
Hebu tafuta thread 1 niliweka hapa heading yake
,Sikumbuki ushujaa ule ulitoka wapi,
Soma hii thread utajua mimi nlifanya nini kwa inshu kama hiyo yako,
huwezi kumbadili binadamu, binadamu anabadilika pale anapotaka,
its clear kuwa msichana wako ana feelings kwa x,
ni mawili either anataka huku na huku au wewe anakuhold tu just in case x wake akiamua kurudisha majeshi amrudie....
au msichana wako hajui nini anataka.....
heri uchape lapa...
mpaka ananuna na kukasirika ujue kuwa anamprotect x badala ya kukuprotect wewe....
ngumu kumeza lakini achana nae, huyo msichana anampenda na kumthamini x wake sio wewe
Hebu tafuta thread 1 niliweka hapa heading yake
,Sikumbuki ushujaa ule ulitoka wapi,
Soma hii thread utajua mimi nlifanya nini kwa inshu kama hiyo yako,
Na huyu mdada mara kibao ananiambiaga kuwa hajawahi kufikishwa kileleni na mimi ndio mwanaume wa kwanza kumfikisha ila naona ananidanganya tu manake kama ingekuwa ni kweli asingeendelea kuhangaika na hao ma ex wake. Shame !! Mtu anapendwa ila hapendeki
Bibille whts goes around ,,,, comes round , kama aliiba ataibiwa
Unajua. Pengine watani wake wa jadi hao kama simba na yanga ,so aliona hataki akuumize moyo,, cool down ma man!!
find a new hobby
women can be a source of stress and unhealthy life
Hayo ndo madhara ya kumnyang'anya mwenzio mpenzi wake we si ulimpa jaka moyo enzi unamwinda ili amuache ahamie kwako haya sasa kuimba kupokezana.
nakubaliana na nyinyi..hii dhambi inanitafuna sasa hivi.. ni kweli kabisa ..so nifanyeje?Bibille whts goes around ,,,, comes round , kama aliiba ataibiwa
seriously namuacha..kwa sababu dalili zote zinaonyesha kuwa anampenda bado ex wake ndio maana ananidharau na anaoan kuwa namkera .. so nachukua maamuzi magumu
Kweli huyu mdada nimeshamuelewa sasa hivi. kaja kwangu nikamueleza kila kitu.. kuwa kwa nini nilikukataza ila na bado ukanidharau ukaendelea kuwasiliana na ex wako? ..akaniambia kuwa ameshanichoka na amechoshwa an maneno yangu ..akaniambia nijichagulie mwenyewe kuwa naye ama nisiwe naye ..nikamwambia tuachane ..akakaa na mimi kama nusu saa hivi bila kuongea kitu ..akaamka akaondoka zake. hakutaka hata nimsindikize....maana yake ni nini?sipendwi?
hujanielewa ..mimi sitaki awasiliane na ma ex wake full stop. hata yeye kama angekuwa hawasiliani na ex wake mimi nisingekuwa na shida naye ..swali ni kuwa kwa nini amenidharau? nilimkataza asiwasiliane na ex wake bial kunihusiha ila akanidharau ..unafikiri huyu anastahili tena kuwa na mimi ama wanatakana na mpenzi wake.. halafu nilimuuliza kwa nini? akasindwa kunijibu akaondoka ..hajaniomba msamaha ..huyu ananifaa kweli? think good..ama muulize mwanaume yoyote hapa kama angechukua maamuzi gani ..kwanza wengi hapa wanaume wananiona mimi kuwa ni kilaza wa kutupwa
Asante kwani kabla ya hapo ulikuwa unanionaje? mwanaume shati ambaye sina msimamo?
Hujawa tayari kumuacha labda kama unatudanganya hebu soma maelezo yako hao ya karibuni.......halafu nitakwambia
Halafu angalia hapa
Sasa baada ya hayo uliyosema hujawa tayari kumwacha. Labda nikuulize najua unampenda sana.Je unataka usaidiwe kumsahau ili usiumie zaidi?
Sasa baada ya hayo uliyosema hujawa tayari kumwacha. Labda nikuulize najua unampenda sana.Je unataka usaidiwe kumsahau ili usiumie zaidi?