The same same thing once happened to me! Nikamwambia kama anataka kuwa na mimi abadili namba ili huyo X asiipate! Akabadili. Baada ya miezi 3, nikashika simu yake ghafla. Nikakuta kambip X wake na inaonekana huyo X hakuwa anaikumbuka namba ya huyo msichana, so akawa anauliza we nani? Msichana akajifanya kumdanganya, ila wakawa wanachat sana bila ya jamaa kujua anachat na X wake na msichana akawa anaenjoy sana kuchat. Mpaka hapo, mimi sikua najua anachat na nani, coz nilipouuliza aliniambia alikua anachat na mtu ambae msichana alikosea namba wakati wa kubip, nikaona the whole thing ni utoto. Siku ya siku, nikaona jamaa amegundua af bint anaendelea kunificha, mwisho nikagundua alikua ni X wake. Nikachukua simu ya bint kutaka kumpigia, bint alikua tayari tupigane tuuane kuliko nimpigie msela. Mwishowe kimabavu nikampigia msela, nilichokipata, sitamani hata kukumbuka. Nikachunguza kwa marafiki za msichana, nikaja kugundua kuwa yule msichana alikua anampenda sana X wake na hatakaa apate mwanaume kama yeye! Na walishafanya mengi sana ambayo sio rahisi kumsahaulisha. Nikajivua gamba fasta, maisha yakaendelea. Be carefull.