BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,076
ni miezi mitatu toka niwe na uhusiano na huyu mdada, ila cha kushangaza kila tukitofautiana anablock simu yangu na baadae anaomba msamaha anasema ilikua hasira,ila leo ndo amenishtua kwani kaniomba ni mrushie salio mi nikamwambia kwaleo sina hela labda kesho mwezangu kanuna na hataki kuongea na mimi na simu yangu kaiblock, kweli huyu mdada ana mapezi ya kweli au ananipotezea muda wangu tu ?
motto ya huyo dada ni ''no money, no love'' ...pole anakupotezea muda, hakufai!!