Matumizi ya simu katika Mahusiano

Matumizi ya simu katika Mahusiano

Mi huwa sizimi ila sipigi namtegeshea yeye ndio aanze, na nina mshukuru Mungu mara zote huwa nafanikiwa, maana huwa na imagine akiamua kuchuna itakuwaje!



hahahahahahahah............ usinichekeshe mie
unauchuna huku kiroho kinakudunda dunda........lol!.. sijui atanipigia
 
hata kama anapiga simu kutafuta suluhisho wakati mimi nina hasira bado,ni rahisi ku-loose it. ndo nikasema unaweza kumjibu mtu kitu utakachojutia maisha yako yote. bak,haijakutokea ukakasirika sana juu ya kitu,afu baada ya muda ukagundua u just overeacted? aibu yake sasa... ni better to avoid confrontations when u ar over the roof

Nakubaliana nawe King'asti kwamba kama umeudhika kupita kiasi basi ni bora tu kuzima hiyo simu, lakini utazima kwa muda gani? masaa machache au siku chache? Kwa maoni yangu ni vizuri kuongea kama mnaweza kuongea kiungwana bila ya kuwepo "shouting match" lakini kama mmoja wa wahusika au wote hamuwezi kuongea kistaarabu katika kutafuta suluhisho basi ni bora kusepa tu kuliko mtu aanze kuscream on top of his/her lungs na kutoa mimacho kama vile anataka kumeza mtu.
 
WanaJF natumai mko poa….
Mara ngapi hutokea wewe ukazima simu au kudelete namba ya mwenzi wako pindi mnapokosa maelewano? kudelete namba etc na jee njia hiyo inasaidia kuondoa tatizo?
nawasilisha

Binafsi siamini kama hiyo ni njia sahihi, naona kama ni upuuzi tu na kuwa na maamuzi ya kitoto. Samahani sana ...
Kumbuka tu kuwa running from the problem is not solving the problem
 
Binafsi siamini kama hiyo ni njia sahihi, naona kama ni upuuzi tu na kuwa na maamuzi ya kitoto. Samahani sana ...
Kumbuka tu kuwa running from the problem is not solving the problem

Ni kweli ila pia kuna msemo wanasema kama unaweza kukimbia tatizo fanya hivyo (walk away from trouble) badae ukishatulia si utarudi kulishughulikia?
 
Mi huwa sizimi ila sipigi namtegeshea yeye ndio aanze, na nina mshukuru Mungu mara zote huwa nafanikiwa, maana huwa na imagine akiamua kuchuna itakuwaje!

Kuna siku utakuja fanya hivyo utasubiri mpaka mwisho wa dahari, sababu naye anaona hicho kitu kwamba hua unauchuna. Ipo siku atachoka.
 
hahahahahahahah............ usinichekeshe mie
unauchuna huku kiroho kinakudunda dunda........lol!.. sijui atanipigia
Jifunze kidogokidogo kuwa wa kwanza nawewe kumtafuta maana siamini kila siku anakuwa yeye ndio mwenye makosa?
 
Hii ipo sana na huwa inanishangaza sidhani kama ina msaada ila pengine humpa faraja yule anayezima au kutopokea hiyo simu
 
Ni siku ambayo sitoweza kuisahau pale nilipokuwa a mpenzi wangu kisha Girl wangu wa Zamani ambaye tuliachana miezi ninne iliyopita ikiwa pia ni miezi miwili tu tangu kuwa na mpezi wangu huyo,yule x-Girl wangu alipopiga simu na kwa lengo la kunijulia hali kwani hatukuwa tumeachana kwa ugomvi, lakini Girl wangu mpya alianza kuhoji baada ya malumbano ya muda mrefu akafikia uamuzi wa kumpigia simu.

Ndipo balaa likaanza huku akiwa ameweka sauti ya nje (loud speaker) mambo yalikuwa hivi:-

New one: Unampigia simu kwani ni nani wako
X-Girl: Muulize mwenyewe ananijua kama wewe ndo unakula mimi nimeshakinai
New one:sasa kama umekinai kwanini unaendelea si utatapika?
X-Girl: jamii itakucheka wewe unachimba shimo kwa kidole?
New one:unamaanisha nini wacha kuongea mafumbo
X-Girl: Bwana kwa mwanaume gani huyo ana uume ndogo kama kidole cha mwisho?
New one:kwani kipindi uko nae hukuuona?
X-Girl:Nilikuwa nakula pesa tu na kama nawe uko kwa ajlil hiyo sema nikupe mbinu?
New one:mbinu ya nini mimi nafurahia penzi kwa raha zangu
X-Girl:hakuna penzi hapo hajui kitu na kaduke kenyewe kanatoka toka mimi nilikuwa nampa moyo kisha nakwenda kwingine ku...
hata yeye mwenyewe nilishawahi kumwambia na kanifumania mara kibao,nimempatia dawa hadi za kichina hakuna kitu hapo.

kwa kweli wana jf nilijisikia vibaya sana nikaamua kumpokonya yule binti simu kisha. binti akatoka nje baada ya dakika chache akaingia na kuanza kunipa moyo. Lakini hadi leo wakati wa utamu najihisi vibaya.
icon6.png

Unajua kwanini waungwana wanasema ni stori ya ki-shigongo shigongo? Umesema huyo xgf hamkuachana kwa shari na hadi mnapigiana simu maana yake hakuna tatizo sasa iweje akudhalilishe ghafla tu kwa goma lako jipya? Kwani alikuwa na ugomvi na wewe? Kama alikuwa na hasira na goma jipya si angelichana lenyewe?

Otherwise itakuwa xgf anatumia msuba mkali sana
 
WanaJF natumai mko poa….
Mara ngapi hutokea wewe ukazima simu au kudelete namba ya mwenzi wako pindi mnapokosa maelewano? kudelete namba etc na jee njia hiyo inasaidia kuondoa tatizo?
nawasilisha

Kuzima simu inategemea na tatizo lenyewe. Kama mmojawapo kati yenu anataka suluhu, si vema kuzima simu.
Ila kuna wakati mwingine kichwa kikipata moto, halafu mwenzio bado anaendelea kuzima huo moto kwa petrol...! Kama si kui-mute simu, naizima kabisa ili kichwa kipate kupoa kwanza. Ukiwa na hasira, ni rahisi kutoa majibu ya maudhi zaidi.
 
if i love him ........i won,t do it!

WanaJF natumai mko poa….
Mara ngapi hutokea wewe ukazima simu au kudelete namba ya mwenzi wako pindi mnapokosa maelewano? kudelete namba etc na jee njia hiyo inasaidia kuondoa tatizo?
nawasilisha
 
Mi huwa sizimi ila sipigi namtegeshea yeye ndio aanze, na nina mshukuru Mungu mara zote huwa nafanikiwa, maana huwa na imagine akiamua kuchuna itakuwaje!

hapa ndo mnaponiachaga hoi eti unamtegea ye ndo aanze...hata kama wewe ndo umemkosea?...ukintegea mimi imekula kwako
 
Ni siku ambayo sitoweza kuisahau pale nilipokuwa a mpenzi wangu kisha Girl wangu wa Zamani ambaye tuliachana miezi ninne iliyopita ikiwa pia ni miezi miwili tu tangu kuwa na mpezi wangu huyo,yule x-Girl wangu alipopiga simu na kwa lengo la kunijulia hali kwani hatukuwa tumeachana kwa ugomvi, lakini Girl wangu mpya alianza kuhoji baada ya malumbano ya muda mrefu akafikia uamuzi wa kumpigia simu.

Ndipo balaa likaanza huku akiwa ameweka sauti ya nje (loud speaker) mambo yalikuwa hivi:-

New one: Unampigia simu kwani ni nani wako
X-Girl: Muulize mwenyewe ananijua kama wewe ndo unakula mimi nimeshakinai
New one:sasa kama umekinai kwanini unaendelea si utatapika?
X-Girl: jamii itakucheka wewe unachimba shimo kwa kidole?
New one:unamaanisha nini wacha kuongea mafumbo
X-Girl: Bwana kwa mwanaume gani huyo ana uume ndogo kama kidole cha mwisho?
New one:kwani kipindi uko nae hukuuona?
X-Girl:Nilikuwa nakula pesa tu na kama nawe uko kwa ajlil hiyo sema nikupe mbinu?
New one:mbinu ya nini mimi nafurahia penzi kwa raha zangu
X-Girl:hakuna penzi hapo hajui kitu na kaduke kenyewe kanatoka toka mimi nilikuwa nampa moyo kisha nakwenda kwingine ku...
hata yeye mwenyewe nilishawahi kumwambia na kanifumania mara kibao,nimempatia dawa hadi za kichina hakuna kitu hapo.

kwa kweli wana jf nilijisikia vibaya sana nikaamua kumpokonya yule binti simu kisha. binti akatoka nje baada ya dakika chache akaingia na kuanza kunipa moyo. Lakini hadi leo wakati wa utamu najihisi vibaya.
icon6.png

Ooooooooh, pole sana. hivi kwa nini unajiskia vibaya? kuna ukweli wowote hapo?
 
Ni siku ambayo sitoweza kuisahau pale nilipokuwa a mpenzi wangu kisha Girl wangu wa Zamani ambaye tuliachana miezi ninne iliyopita ikiwa pia ni miezi miwili tu tangu kuwa na mpezi wangu huyo,yule x-Girl wangu alipopiga simu na kwa lengo la kunijulia hali kwani hatukuwa tumeachana kwa ugomvi, lakini Girl wangu mpya alianza kuhoji baada ya malumbano ya muda mrefu akafikia uamuzi wa kumpigia simu.

Ndipo balaa likaanza huku akiwa ameweka sauti ya nje (loud speaker) mambo yalikuwa hivi:-

New one: Unampigia simu kwani ni nani wako
X-Girl: Muulize mwenyewe ananijua kama wewe ndo unakula mimi nimeshakinai
New one:sasa kama umekinai kwanini unaendelea si utatapika?
X-Girl: jamii itakucheka wewe unachimba shimo kwa kidole?
New one:unamaanisha nini wacha kuongea mafumbo
X-Girl: Bwana kwa mwanaume gani huyo ana uume ndogo kama kidole cha mwisho?
New one:kwani kipindi uko nae hukuuona?
X-Girl:Nilikuwa nakula pesa tu na kama nawe uko kwa ajlil hiyo sema nikupe mbinu?
New one:mbinu ya nini mimi nafurahia penzi kwa raha zangu
X-Girl:hakuna penzi hapo hajui kitu na kaduke kenyewe kanatoka toka mimi nilikuwa nampa moyo kisha nakwenda kwingine ku...
hata yeye mwenyewe nilishawahi kumwambia na kanifumania mara kibao,nimempatia dawa hadi za kichina hakuna kitu hapo.

kwa kweli wana jf nilijisikia vibaya sana nikaamua kumpokonya yule binti simu kisha. binti akatoka nje baada ya dakika chache akaingia na kuanza kunipa moyo. Lakini hadi leo wakati wa utamu najihisi vibaya.
icon6.png

Ni tabia mbaya sana kumtukana mtu that much baada ya kuachana naye, ni upumbavu na utoto, muache mtu aishi happy kwenye maisha yake, kuachana kwenu kusiproduce chuki zisizoisha, samehe na uishi na ufurahie maisha yako na yeye pia umuache aishi na afurahie maisha yake, yaani unakubali kasoro zake na kuwa naye, halafu mkiachana, unamtangaza kwa watu, huo ni upuuzi, watu waache hiyo tabia.
 
kuwa na kapenseli ni noma. inabidi uongeze ufundi wa ziada la sivyo hata huyu new gf wako akiendelea kutafakari hayo maneno na huku kweli humfikishi unapiga muhuri atakukimbia.

Ni siku ambayo sitoweza kuisahau pale nilipokuwa a mpenzi wangu kisha Girl wangu wa Zamani ambaye tuliachana miezi ninne iliyopita ikiwa pia ni miezi miwili tu tangu kuwa na mpezi wangu huyo,yule x-Girl wangu alipopiga simu na kwa lengo la kunijulia hali kwani hatukuwa tumeachana kwa ugomvi, lakini Girl wangu mpya alianza kuhoji baada ya malumbano ya muda mrefu akafikia uamuzi wa kumpigia simu.

kwa kweli wana jf nilijisikia vibaya sana nikaamua kumpokonya yule binti simu kisha. binti akatoka nje baada ya dakika chache akaingia na kuanza kunipa moyo. Lakini hadi leo wakati wa utamu najihisi vibaya.
icon6.png
 
Sina cha kukushauri mkuu isipokuwa nimecheka sana!!!
 
Kaka si unajua yanarun dunia haya mapenzi mkubwa.
Ukweli siku tayar kumpa ila alikomaa hadi nikampa du.
Najutia uamuzi wangu.
 
Kaka hapa umenipa msamiati huyu ni mtu au jina la dawa? na je anapatikana wapi?"MziziMkavu"
nisaidie mtu wangu.
 
Ila kwa sasa kuna binti namfikiria lakini nahic watakuwa hawa hawa.
Nitajitahidi kuish nae mbali na hapa.
Na pia cm yangu hatapokea wala kuifungua.
 
Back
Top Bottom