Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,087
- 6,390
Kuna mawili nikiona mke wangu ananichukulia poa..kwanza nitaona kama na yeye anafanya tena zaidi yangu so ananiinjoi tu...akikasirika nitamwelewa hasa kama huyo mtu nina flirt nae...Asante Sangara kwa kunielewa. I fail to understand hawa wenzangu wanaosema watamezea. Mimi kwa kweli mume wangu anajua what am capable of kwa hiyo hata kama ana cheat nina hakika anawapa limits hao vimada wake kwani so far sijawahi kutana na huo upuuzi na nikikutana nao walahi patachimbika.
Emu kuweni honest nyie wanaume; mkeo kama anakuwa anatabasamu tu anapukutana na vitu kama hivyo will it make you stop??? Will it make you love her more??? WOnt it make you love the other woman more since you know that your wife doesn't care??? Wont it make you a serial cheater??
Kwa experience yangu wanaume wenye wanawake wapole ni viwembe balaa kwa sababu wapo kwenye conducive environment.