Matumizi ya simu katika Mahusiano

Matumizi ya simu katika Mahusiano

Hata wiki 1 haijatimia mkuu!!
Hapo vipi kuna ndoa kweli??

mmmh,hiyo kali,maybe hakupewa kitchen party ya kutosha,ndoa hata wiki haijatimia,ndoa ikiwa changa,mwanamke unakuwa na unyenyekevu mbele ya mume wako,muhimu amfahamishe kistaarabu,maybe huyo dada atamuelewa
 
Mamboz wana JF??

Nauliza swali jamani,Inakuwaje upo na mkeo sumwhre faragha mnatalk nae wakati huohuo yupo bizzy na simu anachat muda wote!!!!

Utachukua uamuzi gani??!!

Eng Smasher mi nadhani both of u hamkua tayari kufunga ndoa, ila ni shinikizo from somewhere!! Take a minute and think about your future. if you condone this at this early stage u'll end up getting hurt. Confront her and tell exactly how you feel about the situation and assess her reaction. Utajua tu kama ni mkweli kwako au la. Simpo chief
 
Sasa wote mkiwa bizzy itasaidia nini hapo??!!
I think hautakuwa umesolve tatizo!!

Unajua wamama/wadada wanapenda kupewa attention sana. Nikianza kubofyabofya atajua nimehamishia attention kwa mtu mwingine, atalazimika kuacha kuchat na atataka kujua nachat na nani? Hapo ndo ntampa ukweli kwamba sipendi anachonifanyia. Kwa ujumla hapo ndo tutaongea na kuweka misimamo yetu towards each other. Nitavunja ukimya "kwa msaada wa watu wa Marekani."
 
Yap nimekupata bulaza lakini twende na mambo yote mkuu,vipi asipo onesha rection yoyote??!!
What next??
Asiporeact, tayari unakuwa umepata data. Tafsiri yake you have no place in her heart yaani hata kufanya mapenzi na wewe huwa ni kwa sababu anamtii padre au shehe aliyewaunganisha. Hapo ni kutafuta mwelekeo mpya na kumwachia nafasi akalale na huyo chatmate wake na wewe utafute chatmate wa kulala naye. Believe me hakuna intermediate solution hapo.
 
Hapo umenena mkuu lakini jamaa aliamua kukaa kimya so alikuwa anamaanisha nini??!!
Au ndo mambo ya kuwekwa kwenye chupa o mapenzi matamu??!!

Hapo jamaa hakujua responsibility zake kama KICHWA. Nadhani darasa linahitajika, hakuna cha chupa wala nini! watu hawajui kwamba wanatakiwa kukontrol mazingira yao yote,,, Ndio maana wanaibiwa wapenzi baa anachati na jamaa meza ya jirani We unavimba! Mtoto wa kiume haziri/hanuni
 
inakuwaje mkeo afanye kitu kama hicho halafu wewe ukae unamchekea tu kwa nn usimweleze kuwa hupendi ili aelewe kitu gani afanye na kwa wakati gani. Ndoa za siku hizi zimevamia na dot com wanaume wanakosa sauti na maamuzi mbele za wake zao ni ujinga huo, m/ume simama kama m/ume daima na komesha ushenzi kama huo mapema kwenye ndoa achana na ushauri wa wewe pia kuchukua simu na kuanza kuchat

inachotakiwa ni kila unapokuwepo m/ume na m/mke atambue anatakiwa kufanya nn mbele yako na vice versa kwa m/mke kwa m/ume

Mpaka sasa inaonyesha kuwa wote mnge-react tofauti tofauti.........sasa reaction ya nani ipo right? coz wanawake wanapenda ku-judge sana. Ataanza kusema that was unnecessary..........usingenifanyia vile. halafu unasema I am sorry unajua nilighafilika sikupenda ulichokuwa unafanya.

Hakuna lililo straight foward kwenye hizi issues.
 
Mamboz wana JF??

Nauliza swali jamani,Inakuwaje upo na mkeo sumwhre faragha mnatalk nae wakati huohuo yupo bizzy na simu anachat muda wote!!!!

Utachukua uamuzi gani??!!


mmmhhh kwa kweli mlitakiwa kuanzia mwanzo muambiane
hakuna simu, hakuna lap top wala kitu chochote ambacho kinaweza ku haribu muda huo mtakatifu..
ni mimi na wewe tu muda huu..
au vipi???

ka ni mie ntamwacha tu ..
lakini akimaliza kuongea nta mwambia naomba hiyo iwe mara ya mwisho....
 
Unaichukulia cimpo mtu wangu!!
Kweli utamuacha mumeo au hata msela wako achat muda wote wakti mpo garagha??

mmmhhh kwa kweli mlitakiwa kuanzia mwanzo muambiane
hakuna simu, hakuna lap top wala kitu chochote ambacho kinaweza ku haribu muda huo mtakatifu..
ni mimi na wewe tu muda huu..
au vipi???

ka ni mie ntamwacha tu ..
lakini akimaliza kuongea nta mwambia naomba hiyo iwe mara ya mwisho....
 
inakuwaje mkeo afanye kitu kama hicho halafu wewe ukae unamchekea tu kwa nn usimweleze kuwa hupendi ili aelewe kitu gani afanye na kwa wakati gani. Ndoa za siku hizi zimevamia na dot com wanaume wanakosa sauti na maamuzi mbele za wake zao ni ujinga huo, m/ume simama kama m/ume daima na komesha ushenzi kama huo mapema kwenye ndoa achana na ushauri wa wewe pia kuchukua simu na kuanza kuchat

inachotakiwa ni kila unapokuwepo m/ume na m/mke atambue anatakiwa kufanya nn mbele yako na vice versa kwa m/mke kwa m/ume

kuna ka ubwege flani huyu dada amekagundua kwa mwanaume wake. mwanamke hawezi kufanya uzembe kama huo mbele ya mwanaume rijali bana. huyo mwanaume inabidi aache kuizalilisha hii jinsia adhawaizi tutamvua uanachama.
 
Teh teh teh! Tena ndoa ina siku 5 tu mkuu!!!
Sumtym anasema simu ya mkewe huwa inapigwa hata saa 11 alfajiri!!

kuna ka ubwege flani huyu dada amekagundua kwa mwanaume wake. mwanamke hawezi kufanya uzembe kama huo mbele ya mwanaume rijali bana. huyo mwanaume inabidi aache kuizalilisha hii jinsia adhawaizi tutamvua uanachama.
 
Unaichukulia cimpo mtu wangu!!
Kweli utamuacha mumeo au hata msela wako achat muda wote wakti mpo garagha??

sasa we unadhani nikimpigia makelele ndo ataacha??
naye ni mtu mzima na akili zake..
anajua kufanya hivyo si vema kabisa..

ndo maana ntamwacha mpaka amalize ..akitaka aongee hata masaa 10..
lakini akimaliza tu ndo muda wakuongea na kuelezana ukweli..
kweli sioni haja ya kumnyanganya simu au kugombana kuhusu hilo....

kwa sababu hapa nadhani anataka kuona reaction yako ..
sasa we ukipiga kimya hata husemi kitu wakati ye yuko kwenye simu ..
baada ya muda atajiona yeye ndo mjinga...
 
inakuwaje mkeo afanye kitu kama hicho halafu wewe ukae unamchekea tu kwa nn usimweleze kuwa hupendi ili aelewe kitu gani afanye na kwa wakati gani. Ndoa za siku hizi zimevamia na dot com wanaume wanakosa sauti na maamuzi mbele za wake zao ni ujinga huo, m/ume simama kama m/ume daima na komesha ushenzi kama huo mapema kwenye ndoa achana na ushauri wa wewe pia kuchukua simu na kuanza kuchat

inachotakiwa ni kila unapokuwepo m/ume na m/mke atambue anatakiwa kufanya nn mbele yako na vice versa kwa m/mke kwa m/ume


Kwanza mtakuwaje mko faragha halafu simu ziko on?
 
Duh!!na hizi xtreme sms c utakesha unasubiri amalize kuchat??!!
Vipi ukigundua anachat na SMALL HOUSE??

sasa we unadhani nikimpigia makelele ndo ataacha??
naye ni mtu mzima na akili zake..
anajua kufanya hivyo si vema kabisa..

ndo maana ntamwacha mpaka amalize ..akitaka aongee hata masaa 10..
lakini akimaliza tu ndo muda wakuongea na kuelezana ukweli..
kweli sioni haja ya kumnyanganya simu au kugombana kuhusu hilo....

kwa sababu hapa nadhani anataka kuona reaction yako ..
sasa we ukipiga kimya hata husemi kitu wakati ye yuko kwenye simu ..
baada ya muda atajiona yeye ndo mjinga...
 
Sasa unataka kuzima simu ili iweje??!!
Faragha niliyoizungumzia mimi kwenye hii maada ni maongezi ingawa walikuwa kwenye
kifunction sumwhr kama mke na mume!!!

Ni madhambi gani mnaficha kama ni mkeo? hivi ndugu unaelewa maana ya faragha wewe?
 
Sasa unataka kuzima simu ili iweje??!!
Faragha niliyoizungumzia mimi kwenye hii maada ni maongezi ingawa walikuwa kwenye
kifunction sumwhr kama mke na mume!!!

ungefafanua toka mwanzo kuwa ni faragha ya aina gani, umejaribu kupitia watu walivyokuwa wanakujibu? wengine wamesema angetoka nje then akifika huko anaanza kumtumia msg, Ungeeleza toka mwanzo ni aina gani ya faragha? Hivi mkiwa kwenye function somewhere hiyo nayo ni faragha au? What i know ni kwamba huwezi kuwa kwenye function ukasema hiyo ni faragha, kwa uelewa wangu ungetumia neno lingine na sio hilo.
 
Teh teh teh!! Sema hujanipata vizuri but walikuwa fargha ingawa kwenye function flan!!
I think hiyo inawezekana mkuu!!

ungefafanua toka mwanzo kuwa ni faragha ya aina gani, umejaribu kupitia watu walivyokuwa wanakujibu? wengine wamesema angetoka nje then akifika huko anaanza kumtumia msg, Ungeeleza toka mwanzo ni aina gani ya faragha? Hivi mkiwa kwenye function somewhere hiyo nayo ni faragha au? What i know ni kwamba huwezi kuwa kwenye function ukasema hiyo ni faragha, kwa uelewa wangu ungetumia neno lingine na sio hilo.
 
Back
Top Bottom