MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,820
- 5,822
nilimsikiliza waziri mkuu mmoja wa india wa miaka ya nyuma anazungumzia "what it take to be a Leader"Ktk vitu vilivyonifanya nimshushe point Magufuli ni tabia yake yakulalama hovyo!!!
Ameshika nafasi sasa aonyeshe anaweza kuliko kuendelea kupiga kelele tumefikishwa hapa na watubwachache ambao hatutajii na hachukui hatua dhidi yao...
Visionary leader halalamiki!! Huchukua matatizo kama changamoto na kuzifanyia kazi...
Ktk vitu ambavyo Magufuli hana na vitamgharimu ni kukosa intelligence...
Viongozi wanahitaji kuwa na maarifa sana ili kuwaongoza watu wao waende wapi...
Lkn huyu bwana ameonesha zaidi uwezo Wa kusimamia kuliko kuongoza!!!
Huu mfumo Wa one man army ni mbaya na hauna tija ktk dunia hii ya Leo...
Anafafanua in detail anataka india iende wapi na sasa iko wapi, itafika kwa njia ipi?
KUHUSU KILIMO alifafanua in detail, status waliokuwa nayo,wataanza cha kujikimu, baadae suprus kwa biashara kidogo baadae kabisa wawe world producer wa Ngano, Hadi anaondoka India ilikuwa ya pili kwa kuzalisha ngano duniani. Changamoto ya maji ilichimbwa mifereji ya illigation na serikali.
simaanishi awe kama huyo wa india, ila flamework hiyo ndio imezifanya nchi nyingi kupush. lazima atupe time, cost, scope and quality.
We need a Leader who can envision this country 5,10,20 years to come and show people how we will reach there. Najua rais wangu ni Msomi anajua haya