whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,565
- 4,426
Nimeshuhudia hii "h"ikiongezeka kwa kasi mahali isipohitajika. Kwanza ilianzia kwa wanamuziki wa bongofleva na sasa inaunguruma kote mitaani haswa kwenye kuandika ujumbe wa maneno kwa kutumia simu au barua pepe na huu ndio mwanzo wa kiswahili chetu kuingia gizani. Kwa mfano neno "utamuona mtoto" inaandikwa "hutamuona mtoto" hii ni maana tofauti na kilichokusudiwa "atakuja" "hatakuja" yaani balaa
Sent from my BlackBerry using JamiiForums
Sent from my BlackBerry using JamiiForums