kuna wengine uwa wanahandika ivyo kwa makusudi tu bira ya kukusudia.Kuna mtu kila akitext anaandika ''Nimehamua'' yaani hizo ''h'' kibao na hana uhusiano wowote na lafudhi/matamshi..sijui ni mazoea?!!
Tafadharini muhache kualibu rhugha ya taifa. Kwa kweri munakera na munahudhi sana!