Toragamaganza
Senior Member
- May 28, 2016
- 119
- 94
Mhmm matumiz makubwa sana kwa mtu mwenye kipato kidogo.Nimeamka asubuhi nina elfu kumi mfukoni , sasa hesabu yake sasa :-
Chai kwa mama niwekee. 1,500/=
Nikatoka kwenda mjini nauli. 1,000/=
Nikala mchana huko mjini. 2,500/=
Nikanunua vocha 1,000/=
Nikanunua maji 600/=
Nimerudi nikanunua bando (MB) 1,000/=
Sasa nina chenchi 2,400/=
Nawaza kula cha jioni na maji pia ya kunywa.
Nitatoboa kweli???
Labda kama hufikilii kesho.
Chai kwa hiyo bei yako ni ya siku tatu.
Lunch mkuu buku unapata,sema ujatafuta sehemu tu huduma zetu zilipo.
Nauri sawa.
Maji sawa lakn ya jero yanatosha.
Mhmm lkn ushaur mwingine gharama zikizidi fata tu agizo la mkuu sema umejitahidi ushazidi wa 7
Sent using Jamii Forums mobile app