Matumizi ya elfu kumi yangu leo

Matumizi ya elfu kumi yangu leo

MKUU MATUMIZI YAKO NI YA KIPATO CHA KATI. HONGERA SANA.

MANA KIPATO CHA MTZ NI $1


JARIBU HV
CHAI 500 (MAANDAZI MAWILI NA CHAI YA 100)
LUNCH 1500 (MA NTILIE)
DINNER (1500)
MAJI YA 1000 (LT 1.5)
Jumla 4500
Baki 5,500

Aidha
-unaweza kununua maji ya lt 12 yale ukaweka gheto
-bundle la chuo kwa wiki 1500

MAISHA NI VILE UNAVYOISH
 
Bado nauli ya kurudi nadhani umesahau kama bado uko mjini, hahaha.
 
Haha...hahaha

Chai ulitakiwa unywe 1000.
Nauli 1000
Mchana 2000
Maji bombani
Bando jiunge la chuo 1500 kwa wiki
Jumla 5500 unabaki na 4500 ukijumlisha na 1500 za bando za week nzima utakuwa na zaidi ya 5000 ukiwa bado haujala usiku.
Na usiku je ,,ale muhindi wa kuchoma na limao
 
Chai 600, rangi + mihogo mi2
Mchana ugali+maharage+mboga majani 1500 + maji 600
Vocha airtel 1000 gb 2 siku 3.
Nauli 1000
Usiku wali + samaki+mboga majani 1500
Jumla 6200, hapa lazima utoboe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nataka nijue kipato chako kwa mwezi ndipo tufanye mahesabu. Kama ni biashara ukiuza 50000 kwa siku labda faida ni 15000 hakikisha usile zaidi ya nusu ya faida hapo utatoboa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeamka asubuhi nina elfu kumi mfukoni , sasa hesabu yake sasa :-
Chai kwa mama niwekee. 1,500/=
Nikatoka kwenda mjini nauli. 1,000/=
Nikala mchana huko mjini. 2,500/=
Nikanunua vocha 1,000/=
Nikanunua maji 600/=
Nimerudi nikanunua bando (MB) 1,000/=
Sasa nina chenchi 2,400/=
Nawaza kula cha jioni na maji pia ya kunywa.

Nitatoboa kweli???
Pigs Chai heavy mchana piga deshi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeamka asubuhi nina elfu kumi mfukoni , sasa hesabu yake sasa :-
Chai kwa mama niwekee. 1,500/=
Nikatoka kwenda mjini nauli. 1,000/=
Nikala mchana huko mjini. 2,500/=
Nikanunua vocha 1,000/=
Nikanunua maji 600/=
Nimerudi nikanunua bando (MB) 1,000/=
Sasa nina chenchi 2,400/=
Nawaza kula cha jioni na maji pia ya kunywa.

Nitatoboa kweli???
Kahonge utatoboa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom