Matumizi ya elfu kumi yangu leo

Matumizi ya elfu kumi yangu leo

Haha...hahaha

Chai ulitakiwa unywe 1000.
Nauli 1000
Mchana 2000
Maji bombani
Bando jiunge la chuo 1500 kwa wiki
Jumla 5500 unabaki na 4500 ukijumlisha na 1500 za bando za week nzima utakuwa na zaidi ya 5000 ukiwa bado haujala usiku.
Na pia kwa kuongezea asinunue chakula ajipikie mwenyewe ili kupunguza gharama zaidi na Mara nyingine atembee kwa miguu afanye mazoezi
 
Asubuhi usinywe chai, chakula cha mchana kula katikati ya "asubuhi na mchana", chakula cha usiku unakula baina ya jioni na usiku.
Punguza bundle, 1000 kwa siku ni kubwa mno. Mengine utajiongeza kadri mazingira yalivyo, sometimes nauli unaweka mfukoni "unaua winga" una-pretend upo evening walk [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] mkuu...labda mpaka apotelewe na nauli ndio atajua maana ya WINGA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na pia kwa kuongezea asinunue chakula ajipikie mwenyewe ili kupunguza gharama zaidi na Mara nyingine atembee kwa miguu afanye mazoezi
Ni kweli , ataingia gharama mwanzoni kununua vitu ila baada ya muda matumizi yatapungua.
 
Hiyo mbona kwangu kubwa sana

Chakula mchana napiga pasi ndefu
Vocha 500 mb optional.
Maji ya bomba
Chkula ucku 2500

Kwa hiyo nasevu kama sh 7000 kwa nini nisijenge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo mbona kwangu kubwa sana

Chakula mchana napiga pasi ndefu
Vocha 500 mb optional.
Maji ya bomba
Chkula ucku 2500

Kwa hiyo nasevu kama sh 7000 kwa nini nisijenge

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa budget hii tena utapaulia kigae.

sent from Kibiti with Nokia3310 using Jf app
 
Nimeamka asubuhi nina elfu kumi mfukoni , sasa hesabu yake sasa :-
Chai kwa mama niwekee. 1,500/=
Nikatoka kwenda mjini nauli. 1,000/=
Nikala mchana huko mjini. 2,500/=
Nikanunua vocha 1,000/=
Nikanunua maji 600/=
Nimerudi nikanunua bando (MB) 1,000/=
Sasa nina chenchi 2,400/=
Nawaza kula cha jioni na maji pia ya kunywa.

Nitatoboa kweli???
Wewe jamaa una matumizi mabaya sana! Vocha 1500/= kwa juma.

Halafu milo ni miwili kwa siku inatosha kabisa, chai ya 2000/= saa sita mchana chakula jioni 2500/=


brain is the beautiful part of the body.
 
Back
Top Bottom