Matumizi ya elfu kumi yangu leo

Matumizi ya elfu kumi yangu leo

Niliacha mkuu, enzi zile nikinywa sasa hata mende watavamia mdomo wangu. Niliishasahau.
Nitawezaje kuacha mkuu! Maana mimi matumizi mengine yapo vyema tu! Tena chini kuliko yako!ukiondoa gharama za usafiri (kwenda na kutoka kazini)ambazo zinanikwangua almost 4000 kila siku! Tatizo langu kubwa Ni hilo la bia!! Kwanza siwezi kusitisha siku bila kubugia japo mbili! Baada ya kunywa ndipo sasa matumizi mengine nyemelezi hujitokeza!! Kama nitakufa masikini basi chanzo ni bia! Msaada please!
 
Niliacha mkuu, enzi zile nikinywa sasa hata mende watavamia mdomo wangu. Niliishasahau.
Nitawezaje kuacha mkuu! Maana mimi matumizi mengine yapo vyema tu! Tena chini kuliko yako!ukiondoa gharama za usafiri (kwenda na kutoka kazini)ambazo zinanikwangua almost 4000 kila siku! Tatizo langu kubwa Ni hilo la bia!! Kwanza siwezi kusitisha siku bila kubugia japo mbili! Baada ya kunywa ndipo sasa matumizi mengine nyemelezi hujitokeza!! Kama nitakufa masikini basi chanzo ni bia! Msaada please!
 
Nimeamka asubuhi nina elfu kumi mfukoni , sasa hesabu yake sasa :-
Chai kwa mama niwekee. 1,500/=
Nikatoka kwenda mjini nauli. 1,000/=
Nikala mchana huko mjini. 2,500/=
Nikanunua vocha 1,000/=
Nikanunua maji 600/=
Nimerudi nikanunua bando (MB) 1,000/=
Sasa nina chenchi 2,400/=
Nawaza kula cha jioni na maji pia ya kunywa.

Nitatoboa kweli???
Hujui kubajeti njoo kijijini tulime

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitawezaje kuacha mkuu! Maana mimi matumizi mengine yapo vyema tu! Tena chini kuliko yako!ukiondoa gharama za usafiri (kwenda na kutoka kazini)ambazo zinanikwangua almost 4000 kila siku! Tatizo langu kubwa Ni hilo la bia!! Kwanza siwezi kusitisha siku bila kubugia japo mbili! Baada ya kunywa ndipo sasa matumizi mengine nyemelezi hujitokeza!! Kama nitakufa masikini basi chanzo ni bia! Msaada please!
Huo mfuko tuu, kaka utakuzuia wenyewe, ni pale utapohitaji kuingia bar lakini mfuko unakukazimisha kwenda nyumbani, automatically utajikuta umeacha bia.
 
Nimeamka asubuhi nina elfu kumi mfukoni , sasa hesabu yake sasa :-
Chai kwa mama niwekee. 1,500/=
Nikatoka kwenda mjini nauli. 1,000/=
Nikala mchana huko mjini. 2,500/=
Nikanunua vocha 1,000/=
Nikanunua maji 600/=
Nimerudi nikanunua bando (MB) 1,000/=
Sasa nina chenchi 2,400/=
Nawaza kula cha jioni na maji pia ya kunywa.

Nitatoboa kweli???
Mkuu buku kumi ni bajeti ya siku mbili kwa usawa huu, matumizi yako ni makubwa sana.enzi za jk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikunyingine Fanya hivi....
Amka asubuhi, jiweke bize ili mda wa chai upite, kula chakula cha mchana saa sita,, utakuwa umeokoa 1500 ya chai asubuhi, nauli hakikisha unaenda kwa 400 na kurudi kwa 400 utakuwa umeokoa 200, chakula cha mchana pamoja na maji 2,000 utakuwa umeokoa 600 ya maji,,
Vocha ya buku unga bandle la dk,SMS,na mb, utakuwa umeokoa 1000 ya bandle,, jumla ungebakiwa na 5,400 chenji, raha ya kusomea BUDGETILIZED ENGINEERING

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli , ataingia gharama mwanzoni kununua vitu ila baada ya muda matumizi yatapungua.
Mbona simple sana mim nilikua nakula mchemsho asubuh elf4000 chakula mchana 3000 maji 1000 jion chakula 3000 vocha 1000 baada ya bro magu kutoongeza kitu mwez wa saba sikumraum mtu yeyote nimebadilisha matumiz kama ifuatavyo
Nimejaza gas
Nimenunua mahindi debe 2
Mafuta ya kupikia Lita 1
Vitunguu Vya kutosha mwez
Nyama nikinunua nusu inamaliza sku NNE
Mchele skununua kwa sababu sipendi wali.
Maji nachemsha
Vocha naunga hltel 1500 kwa wiki
Usafir napita shortcut kwa mguu
Mpaka sasa najiuliza nilikua wapi kutoyapanga mapema haya maana ningekua mbali sana.


sent from makinikia
 
chapati moja na chai ya rangi itatosha kwa usiku na chenge inarudi ya nauli kesho
 
Mbona simple sana mim nilikua nakula mchemsho asubuh elf4000 chakula mchana 3000 maji 1000 jion chakula 3000 vocha 1000 baada ya bro magu kutoongeza kitu mwez wa saba sikumraum mtu yeyote nimebadilisha matumiz kama ifuatavyo
Nimejaza gas
Nimenunua mahindi debe 2
Mafuta ya kupikia Lita 1
Vitunguu Vya kutosha mwez
Nyama nikinunua nusu inamaliza sku NNE
Mchele skununua kwa sababu sipendi wali.
Maji nachemsha
Vocha naunga hltel 1500 kwa wiki
Usafir napita shortcut kwa mguu
Mpaka sasa najiuliza nilikua wapi kutoyapanga mapema haya maana ningekua mbali sana.


sent from makinikia
Hongera mdau
 
Back
Top Bottom