Matumizi mabaya ya ujenzi wa Flyover na Madaraja ambayo Malori hayaruhusiwi kupita. Why?

Basi lina Axle 2 hadi 3 ila malori ya axle hadi 7
Hivyo basi huchukua muda mfupi kupima kuliko lorry
Pia thamani na umuhimu watu ni mkubwa kuliko mizigo..
Thus mabasi yanapewa kipaumbele...
Umeshawahi kujiuliza kwanini kwenye mizani mabasi yakikuta malori , mabasi hupima kwanza hata Kama yamekuta malori?
Lakini pia malori yana uzito mkubwa sasa kwenye baadhi ya madaraja hayawezi kuhimili uzito huo hasa yakiwa marefu sana
 
Mbona yanapita?
IMG_20200602_183048.jpg
 
Mimi sio Engineer. Lakini wembamba wa nguzo za hiyo flyover ya Ubungo ulinipa wasi wasi tangu zilipoanza kujengwa. Sasa nimeelewa kuwa hazikujengwa kustahimili uzito mkubwa labda na ndio maana hayo malori yatapita chini. Kwa idadi ya pesa iliyotumuka, THAT'S A MINUS.
 
Mimi sio Engineer. Lakini wembamba wa nguzo za hiyo flyover ya Ubungo ulinipa wasi wasi tangu zilipoanza kujengwa. Sasa nimeelewa kuwa hazikujengwa kustahimili uzito mkubwa labda na ndio maana hayo malori yatapita chini. Kwa idadi ya pesa iliyotumuka, THAT'S A MINUS.
Dah...
 
Mimi sio Engineer. Lakini wembamba wa nguzo za hiyo flyover ya Ubungo ulinipa wasi wasi tangu zilipoanza kujengwa. Sasa nimeelewa kuwa hazikujengwa kustahimili uzito mkubwa labda na ndio maana hayo malori yatapita chini. Kwa idadi ya pesa iliyotumuka, THAT'S A MINUS.
Karibu kwenye uhandisi mkuu
 
Back
Top Bottom