Matumizi mabaya ya ujenzi wa Flyover na Madaraja ambayo Malori hayaruhusiwi kupita. Why?

Ndugu zangu Tanzania tunatumia pesa nyingi kujenga flyover na madaraja ,lakini kwanini malori hayaruhusiwi kupita juu ya madaraja husika? Nitatoa mfano,
1.Daraja la mfugale-Malori hayaruhusiwi?kwanini?
2.Ubungo nayo--Malori yatatakiwa kupita chini...kwanini?
3.Daraja la kigongo busisi--Malori yataendelea kupita kwenye fell licha ya kutumia billion 700..
Jamani anomben sababu ya kwanini malori hayarushusiwikupita kwenye madaraja husika??
Unaposema lori una manisha lipi? Kwani haya ya tani 20-30 mbona hapo Tazara yanapita tu juu ya daraja? Hata sasa ninapo andikaa hilo jingine linapitaaa, hayo bakkhesa?
 
Nchi nyingi duniani mizigo inabebwa kwa rail na siyo barabara. Ni Tanzania tu ndiyo tupo tofauti na ni wa kwanza kulalama barabara mbovu kila wakati. Hayo madaraja yanabeba maroli kwa viwango vya kawaida. Shida bongo ni upakiaji wa mizigo kupita kiwango na hata control siyo makini. Hivyo marufuku ina nia ya kuboresha ili madaraja tajwa yadumu
 
Ndugu zangu Tanzania tunatumia pesa nyingi kujenga flyover na madaraja ,lakini kwanini malori hayaruhusiwi kupita juu ya madaraja husika? Nitatoa mfano,
1.Daraja la mfugale-Malori hayaruhusiwi?kwanini?
2.Ubungo nayo--Malori yatatakiwa kupita chini...kwanini?
3.Daraja la kigongo busisi--Malori yataendelea kupita kwenye fell licha ya kutumia billion 700..
Jamani anomben sababu ya kwanini malori hayarushusiwikupita kwenye madaraja husika??

Kazi ya uhandisi sio fani yako bali unakuja kulalamika tu uliza, wataalam wa hiyo fani watakujuza. Malori hayaruhusiwi kwa sababu kila daraja linalojengwa linajengwa kwa kutumia viwango. Kuna madaraja ya kila aina na kila daraja linajengwa na kuzingatia lipitishe mzigo wa kiasi gani nk. ni sawa na magari, yapo magari madogo na makubwa yenye uwezo tofauti nk. BTW huwezi kupakia kwenye ndege mzigo mkubwa ambao ndege haiwezi kuubeba nk.

Ukiona beam usifikirie kwamba inaweza kubeba tu unavyotaka kuna calculation zimefanyika kufahamu utaweka nondo ngapi nk. Je uzito upi uwe maximum nk. Usisahau huwa kunakuwa na kitu kinachoitwa tolerance nk. Tuache mazoea kama malori ni marufuku usipitishe lori nk. Ni sawa na alama za barabarani ukiambiwa usi-overtake fuata sheria imewekwa pale kwa sababu muhimu.
 
NIMEKUELEWA, HOJA YANGU NIKWAMBA KWANINI TUSIJENGE DARAJA IMARA ZAIDI ILI KUKIDHI MAHITAJI YOTE

Kazi ya uhandisi sio fani yako bali unakuja kulalamika tu uliza, wataalam wa hiyo fani watakujuza. Malori hayaruhusiwi kwa sababu kila daraja linalojengwa linajengwa kwa kutumia viwango. Kuna madaraja ya kila aina na kila daraja linajengwa na kuzingatia lipitishe mzigo wa kiasi gani nk. ni sawa na magari, yapo magari madogo na makubwa yenye uwezo tofauti nk. BTW huwezi kupakia kwenye ndege mzigo mkubwa ambao ndege haiwezi kuubeba nk.

Ukiona beam usifikirie kwamba inaweza kubeba tu unavyotaka kuna calculation zimefanyika kufahamu utaweka nondo ngapi nk. Je uzito upi uwe maximum nk. Usisahau huwa kunakuwa na kitu kinachoitwa tolerance nk. Tuache mazoea kama malori ni marufuku usipitishe lori nk. Ni sawa na alama za barabarani ukiambiwa usi-overtake fuata sheria imewekwa pale kwa sababu muhimu.
 
Lengo la uwekezaji huo ni kuhakikisha watu wanafika mapema sehemu husika ikiwa na mizgo..sasa kwanini hatujengi kitu kamili kinachosaidia hata malori kupita.Mbona daraja la kigamboni malori ruksa, hata daraja la rufiji.. kwanini isiwe na kigongo busis au ubungo flyover?
Maroli yanaweka foleni na msongamano, yanaharibu barabara kwa kuzidisha uzito na pia yanachangia kiasi kikubwa ajali za kibwege
 
Samahani mkuu! Mabasi kupima kabla ya malori inahusiana vipi na malori kutoruhusiwa kupita kwenye madaraja tajwa?
Umeshawahi kujiuliza kwanini kwenye mizani mabasi yakikuta malori , mabasi hupima kwanza hata Kama yamekuta malori?
Lakini pia malori yana uzito mkubwa sasa kwenye baadhi ya madaraja hayawezi kuhimili uzito huo hasa yakiwa marefu sana
 
Kimla Sina uhakika kwa flyover zingine, ila Mfugale flyover na Nyerere Bridge (Kigamboni Bridge) malori yanapita kama kawaida. Hakuna restrictions.
 
Mkuu usiseme eti Tanzania tu ndo tuko tofauti halafu ndo wakwanza kulalamika,

unatakiwa ufahamu kuwa Tanzania ndiyo nchi pekee inayobeba uzito mdogo karibia Africa nzima!yaani uzito wa gari + mzigo = tani 56 zaidi ya hapo ni abnormal.

SA pamoja na maendeleo yao ila trucks ndiyo zinasafirisha mizigo kwenda nchi zingine tena mizito kuliko Tanzania.

Nathubutu kusema hivi, tujenge barabara zenye viwango tuache kusingizia malori, tani 30 haiwezi kuharibu barabara iliyojengwa bila ujanja ujanja
Nchi nyingi duniani mizigo inabebwa kwa rail na siyo barabara. Ni Tanzania tu ndiyo tupo tofauti na ni wa kwanza kulalama barabara mbovu kila wakati. Hayo madaraja yanabeba maroli kwa viwango vya kawaida. Shida bongo ni upakiaji wa mizigo kupita kiwango na hata control siyo makini. Hivyo marufuku ina nia ya kuboresha ili madaraja tajwa yadumu
 
Ndugu zangu Tanzania tunatumia pesa nyingi kujenga flyover na madaraja, lakini kwanini malori hayaruhusiwi kupita juu ya madaraja husika?

Nitatoa mfano,
1. Daraja la Mfugale malori hayaruhusiwi. Kwanini?

2. Ubungo nayo malori yatatakiwa kupita chini. Kwanini?

3.Daraja la Kigongo Busisi malori yataendelea kupita kwenye fell licha ya kutumia billion 700.

Jamani naombeni sababu ya kwanini malori hayaruhusiwi kupita kwenye madaraja husika?
Busisi ndio wapi?
 
Kwani hapo si uangalie tu madaraja ya awamu ipi ndiyo hayawezi kubeba malori kisha malizia kujijibu ni kwanini.
 
Umeshawahi kujiuliza kwanini kwenye mizani mabasi yakikuta malori , mabasi hupima kwanza hata Kama yamekuta malori?
Lakini pia malori yana uzito mkubwa sasa kwenye baadhi ya madaraja hayawezi kuhimili uzito huo hasa yakiwa marefu sana
Ngoja nikutonye kitu ambacho ulikuwahujui. Pale mizani siku nyingine ukiwa umepanda basi kabla basi halijafika pale kwenye gaji yenyewe kondakta hushuka fasta nakukimbilia mbele ofisi iliko na kuingia mle ndani na akishatoka utona anamwambia dereva twende zetu tayari.wee unajia mle ndani naenda kufanya nini?nimekupa kazi hiyo kachunguze uone rushwa unavyoliwa tena nyuma ya kamera
 
Ngoja nikutonye kitu ambacho ulikuwahujui.
Pale mizani siku nyingine ukiwa umepanda basi kabla basi halijafika pale kwenye gaji yenyewe kondakta hushuka fasta nakukimbilia mbele ofisi iliko na kuingia mle ndani na akishatoka utona anamwambia dereva twende zetu tayari.wee unajia mle ndani naenda kufanya nini?nimekupa kazi hiyo kachunguze uone rushwa unavyoliwa tena nyuma ya kamera
Sipingi kwamba hakuna rushwa ila sio kama unavotaka kuiaddress hapa mkuu!

Kondakta hushuka kupeleka kadi ya gari na haingii ndani bali huishia dirishani, wakati ambao unahisi ameenda kutoa rushwa ndio wakati huo huo dereva husogeza gari kwa kuruhusiwa na taa.

Kama uko peke yako utalazimika kushuka na kupeleka kadi mwenyewe kisha urudi kusogeza gari lako (hii ni kwa gari zisizo za abiria)
 
Ndugu zangu Tanzania tunatumia pesa nyingi kujenga flyover na madaraja, lakini kwanini malori hayaruhusiwi kupita juu ya madaraja husika?

Nitatoa mfano,
1. Daraja la Mfugale malori hayaruhusiwi. Kwanini?

2. Ubungo nayo malori yatatakiwa kupita chini. Kwanini?

3.Daraja la Kigongo Busisi malori yataendelea kupita kwenye fell licha ya kutumia billion 700.

Jamani naombeni sababu ya kwanini malori hayaruhusiwi kupita kwenye madaraja husika?
yaani unatumia billion700 kwa kujenga "lidaraja"??
 
Nchi nyingi duniani mizigo inabebwa kwa rail na siyo barabara. Ni Tanzania tu ndiyo tupo tofauti na ni wa kwanza kulalama barabara mbovu kila wakati. Hayo madaraja yanabeba maroli kwa viwango vya kawaida. Shida bongo ni upakiaji wa mizigo kupita kiwango na hata control siyo makini. Hivyo marufuku ina nia ya kuboresha ili madaraja tajwa yadumu
Kwa upakiaji mizigo nenda kongo, baiskeli inabeba mzigo wa kirikuu
 
Kwa kukusaidia tu, malori yanachangia sana uharibifu wa barabara na ndio maana nchi nyingi hutumia treni kubeba mizigo mizito ili kuzipa uhai wa muda mrefu barabara na madaraja, hebu fuatilia barabara ya dar-moro-mbeya-tunduma ambayo hutumika na malori kufusafirisha mizigo kila baada ya muda fulani zinahitaji matengenezo

hasahasa gari zinazotoka Zambia na Congo zinatumia sana barabara hii kubeba bulk goods kama makaa ya mawe na shaba.. pia kwa kuwa hii barabara inapita nyanda za juu kusini na katika maeneo haya nadhani mnajua mazao ya misitu husafirishwa sana kama mbao nk hii hupelekea tatizo la uharibifu na uhitaji wa kufanyiwa marekebisho mara kwa mara
 
NIMEKUELEWA, HOJA YANGU NIKWAMBA KWANINI TUSIJENGE DARAJA IMARA ZAIDI ILI KUKIDHI MAHITAJI YOTE

Mkuu unaweza kufanya hivyo lakini unapoongeza uimara cost zake zinapanda kwa hiyo basi wataalamu wanapofanya design huwa wanaambiwa matumizi ya barabara yatakuwa na uzito gani nk. Rejea mfano SGR iliyojengwa Kenya na inayojengwa Tanzania kila moja ina kiwango cha mzigo kilichopangwa na bei zinatofautiana. ie. SGR ya Tanzania itakuwa na uwezo mkubwa wa kusafirisha mizigo mizito kuliko ile ya kenya vile vile SGR ya Tanzania itakuwa na uwezo wa kutumia umeme wakati ile ya Kenya ni ya diesel nk.
 
Hii nchi jamani inabidi tuamke daraja la billioni 700 halafu wilaya zinazounganishwa zote zipo ng’ambo moja! Bil 700 unajenga km zaidi ya 1000 za lami, yaani lami kutoka Dar hadi Mwanza!
 
Back
Top Bottom