Matumizi mabaya ya ujenzi wa Flyover na Madaraja ambayo Malori hayaruhusiwi kupita. Why?

Kimla

JF-Expert Member
Jun 8, 2008
3,237
5,430
Ndugu zangu Tanzania tunatumia pesa nyingi kujenga flyover na madaraja, lakini kwanini malori hayaruhusiwi kupita juu ya madaraja husika?

Nitatoa mfano,
1. Daraja la Mfugale Malori hayaruhusiwi. Kwanini?

2. Ubungo nayo malori yatatakiwa kupita chini. Kwanini?

3. Daraja la Kigongo Busisi malori yataendelea kupita kwenye fell licha ya kutumia billion 700.

Jamani naombeni sababu ya kwanini malori hayaruhusiwi kupita kwenye madaraja husika?
 
Hakuna ulazima Wa malori kupita kwenye madaraja kwa kuwa kuna njia mbadala zinazoweza kuhimili magari ya mizigo. Sidhani km kuna ulazima Wa Lori kupita kwenye flyover's wakati njia ya chini ipo, pia kwenye maji Lori linaweza kupandishwa kwenye ferry. Njia ya leri na maji ndio njia sahh kwa mizigo mizito
 
Lengo la uwekezaji huo ni kuhakikisha watu wanafika mapema sehemu husika ikiwa na mizgo..sasa kwanini hatujengi kitu kamili kinachosaidia hata malori kupita.Mbona daraja la kigamboni malori ruksa, hata daraja la rufiji.. kwanini isiwe na kigongo busis au ubungo flyover?

Hakuna ulazima Wa malori kupita kwenye madaraja kwa kuwa kuna njia mbadala zinazoweza kuhimili magari ya mizigo. Sidhani km kuna ulazima Wa Lori kupita kwenye flyover's wakati njia ya chini ipo, pia kwenye maji Lori linaweza kupandishwa kwenye ferry. Njia ya leri na maji ndio njia sahh kwa mizigo mizito
 
Madaraja yote hujengwa kwa kuzingatia uzito wa magari yatakayopita juu yake. Daraja la juu la Mfugale limezingatia hilo kulingana na malengo mahususi ya daraja hilo.

Kwa kawaida na hasa sehemu nyingine wanaojishughulisha kikamilifu na utatuzi wa changamoto za miundombinu, magari ya mizigo huwa na barabara zake mbali na zile za kawaida.

Kwa hiyo magari ya mizigo kupita chini ni sahihi kabisa kama ilivyo njiani malori kulazimika kubana kushoto zaidi yawapo barabarani.
 
Hakuna ulazima Wa malori kupita kwenye madaraja kwa kuwa kuna njia mbadala zinazoweza kuhimili magari ya mizigo. Sidhani km kuna ulazima Wa Lori kupita kwenye flyover's wakati njia ya chini ipo, pia kwenye maji Lori linaweza kupandishwa kwenye ferry. Njia ya leri na maji ndio njia sahh kwa mizigo mizito
Mkuu embu acha kudhani jaribu kutoa fact kama mtu mzima
 
Umeshawahi kujiuliza kwanini kwenye mizani mabasi yakikuta malori , mabasi hupima kwanza hata Kama yamekuta malori? Lakini pia malori yana uzito mkubwa sasa kwenye baadhi ya madaraja hayawezi kuhimili uzito huo hasa yakiwa marefu sana
 
mbona daraja la kigamoni malori yanapita? daraja la rufiji malori yanapita..kwanini ubungo na busis ambapo tunatumia pesa nyingi malori hayarushusiw?

kwanini tusjenge kitu cha kumaliza shida..WAANDISHI WA HABARI JARIBUNI KUWAULIZA WATENFDAJI NA WAZIRI WA UJENZI. KWANINI TUTUMIE PRESA NYINGI KUSOLVE NUSU YA TATIZO

Kwa sababu wanajua wakala wa mizani na vipimo hawapo serious kwenye kusimamia sheria za mizani na uzito...

Malaori yataoa rushwa na kupita na uzito usiokubalika hatimae kuziangusha hizo flyover...

Kingine hazijengwi kukithi mahitaji ya uzito mkubwa sana...



Cc: mahondaw
 
Ndugu zangu Tanzania tunatumia pesa nyingi kujenga flyover na madaraja ,lakini kwanini malori hayaruhusiwi kupita juu ya madaraja husika? Nitatoa mfano,
1.Daraja la mfugale-Malori hayaruhusiwi?kwanini?
2.Ubungo nayo--Malori yatatakiwa kupita chini...kwanini?
3.Daraja la kigongo busisi--Malori yataendelea kupita kwenye fell licha ya kutumia billion 700..
Jamani anomben sababu ya kwanini malori hayarushusiwikupita kwenye madaraja husika??
We are the most idiot people in the world, no focus, no planning Mambo hobelahobela
 
mbona daraja la kigamoni malori yanapita? daraja la rufiji malori yanapita..kwanini ubungo na busis ambapo tunatumia pesa nyingi malori hayarushusiw? kwanini tusjenge kitu cha kumaliza shida..WAANDISHI WA HABARI JARIBUNI KUWAULIZA WATENFDAJI NA WAZIRI WA UJENZI. KWANINI TUTUMIE PRESA NYINGI KUSOLVE NUSU YA TATIZO
Mkuu daraja la mto Kagera limejengwa mwaka 1997 mpaka leo ni imara na maroli ya mpaka tani 50 yanapitaa kwann sio haya mapyaa na mimi najiulizaaa
 
WAZIRI ATUELEZE NA MFUGALE KWANININ HATUFANYI VITU COMPLETE

Mkuu daraja la mto kagera limejengwa mwaka 1997 mpk leo ni imara na maroli ya mpk tani 50 yanapitaa kwann sio haya mapyaa na mimi najiulizaaa
 
blaza lengo sio kuogopa kuvunja,lengo ni kuogopa failure ya kupandisha hapo juu.na madhara yatakayotokea.

hivi ukiangalia hiyo beam ni ya kushindwa kubeba tani 30 jui kweli!!
 
Ndugu zangu Tanzania tunatumia pesa nyingi kujenga flyover na madaraja ,lakini kwanini malori hayaruhusiwi kupita juu ya madaraja husika? Nitatoa mfano,
1.Daraja la mfugale-Malori hayaruhusiwi?kwanini?
2.Ubungo nayo--Malori yatatakiwa kupita chini...kwanini?
3.Daraja la kigongo busisi--Malori yataendelea kupita kwenye fell licha ya kutumia billion 700..
Jamani anomben sababu ya kwanini malori hayarushusiwikupita kwenye madaraja husika??
Kwa kukusaidia tu, malori yanachangia sana uharibifu wa barabara na ndio maana nchi nyingi hutumia treni kubeba mizigo mizito ili kuzipa uhai wa muda mrefu barabara na madaraja,

Hebu fuatilia barabara ya Dar-Moro-Mbeya-Tunduma ambayo hutumika na malori kufusafirisha mizigo kila baada ya muda fulani zinahitaji matengenezo
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom