BRO SANTANA
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 1,845
- 2,245
Habarini ndugu zangu.
Wapendwa, habari za jioni,
Kuna tukio limetokea kama dk 30 zimepita, tulivamiwa hapa karibu na nyumbani kuna duka la muaarabu na ana huduma ya tigo pesa, wamekuja majambazi wamepiga risasi juu na kuwajeruhi wauzaji wawili, moja amepigwa begani, na mwingine kwenye mbavu, na kisha kichukua kiasi cha hela ambacho mpaka sasa hakijajulikana.
Nami ningekuwa mmoja wa wale walijeruhiwa, sababu wakati wanavamia hao majambazi, nami niko karibu na hilo duka naelekea hapo dukani kupata huduma, nawaona kabisa wamekuja na pikipiki 2, aina ya Boxer na kutawanyika, kumbe walikuwa wanaandaa mazingira.
Hatua 10 ningezipiga, ningekuwa chini ya ulinzi wao, maana baada ya hapo, walianza kurusha risasi hewani, na kuanza kutawanyisha watu.Nilipokimbilia, anajua mungu na watu tuliokuwa nao kwenye hilo tukio.
Sikuweza kufanya lolote zaidi ya kusali na kusubiri wachukue pesa zao na kuanza kupeana pole.jiji la Mbeya ni jiji linalopatikana Nyanda za Juu Kusini katika zile kanda za nchi.
Jiji hili limekuwa likikua kwa kasi kila mwaka hasa katika sekta ya biashara na hiyo ni kutokana na kuwa mpakani na nchi kama Zambia na Malawi na vilevile ni jiji ambalo lipo katika barabara kuu iendayo nchi za Maghari kama vile DRC na Zimbabwe.
Sasa jiji hili limekuwa na matukio ya watu kupigwa nondo na watuhumiwa kuondoka na damu ambayo ito katika hiyo nondo na mtu huyo kapoteza maisha au mahututi.
Wiki hii kuna watu wawili ambapo mmoja ameuawa an mwingine amenusurika na wote ni madereva wa bodaboda katika kata ya Iwambi karibu na kiwanda cha bia TBL.
Tafadhali anayejua sababu ya watu kupiga nondo binadamu wenzao atujuze na sisi tusiofahamu na nawaomba wananchi wenzangu kuwa makini hasa usiku na kutoa taarifa endapo mtatambua kuwepo kwa vitendo hivyo vya hatari.
Ahsanteni
Wapendwa, habari za jioni,
Kuna tukio limetokea kama dk 30 zimepita, tulivamiwa hapa karibu na nyumbani kuna duka la muaarabu na ana huduma ya tigo pesa, wamekuja majambazi wamepiga risasi juu na kuwajeruhi wauzaji wawili, moja amepigwa begani, na mwingine kwenye mbavu, na kisha kichukua kiasi cha hela ambacho mpaka sasa hakijajulikana.
Nami ningekuwa mmoja wa wale walijeruhiwa, sababu wakati wanavamia hao majambazi, nami niko karibu na hilo duka naelekea hapo dukani kupata huduma, nawaona kabisa wamekuja na pikipiki 2, aina ya Boxer na kutawanyika, kumbe walikuwa wanaandaa mazingira.
Hatua 10 ningezipiga, ningekuwa chini ya ulinzi wao, maana baada ya hapo, walianza kurusha risasi hewani, na kuanza kutawanyisha watu.Nilipokimbilia, anajua mungu na watu tuliokuwa nao kwenye hilo tukio.
Sikuweza kufanya lolote zaidi ya kusali na kusubiri wachukue pesa zao na kuanza kupeana pole.jiji la Mbeya ni jiji linalopatikana Nyanda za Juu Kusini katika zile kanda za nchi.
Jiji hili limekuwa likikua kwa kasi kila mwaka hasa katika sekta ya biashara na hiyo ni kutokana na kuwa mpakani na nchi kama Zambia na Malawi na vilevile ni jiji ambalo lipo katika barabara kuu iendayo nchi za Maghari kama vile DRC na Zimbabwe.
Sasa jiji hili limekuwa na matukio ya watu kupigwa nondo na watuhumiwa kuondoka na damu ambayo ito katika hiyo nondo na mtu huyo kapoteza maisha au mahututi.
Wiki hii kuna watu wawili ambapo mmoja ameuawa an mwingine amenusurika na wote ni madereva wa bodaboda katika kata ya Iwambi karibu na kiwanda cha bia TBL.
Tafadhali anayejua sababu ya watu kupiga nondo binadamu wenzao atujuze na sisi tusiofahamu na nawaomba wananchi wenzangu kuwa makini hasa usiku na kutoa taarifa endapo mtatambua kuwepo kwa vitendo hivyo vya hatari.
Ahsanteni