Kamanda wa Kweli
JF-Expert Member
- Jul 13, 2014
- 1,449
- 836
Sio kweli mkuu!,jamaa ameamua kuwapaka matope watu wa Mbeya,Hivi hao wahuni wachache ndo waharibu sifa ya Wana Mbeya wote??? ,Jamani Ssmaki mmoja akioza,unamtupa ili ubakiwe na wazuri.
Hahaha nilikuwa nasikizia atasema mini mkuu! Naielewa vizuri mbeya, nimekaa na nilisoma huko, hayo anayosema ni kana Kenya na CNN