Wababa wa elfu 2000 hao😁😁Oya we muhuni wa zamani, ushakunywa mbege!? Mbona kuna siemens humo ndani!!!
Hapo nimetumia aina nyingi saana the best katika picha kwangu ilikuwa n95 ila kuna ile ya Eseries sijui ni 72 ile sikimbuki vizuri, inaslide pembeni hivi simu ilinikonga moyo saana.
Nimetumia nokia nyingi kuliko smartphone zote nikijumlisha kwa pamoja.
Six button ilikuw inawakawaka kama king'ola au ambulance.Kweli the old is Gold nimekumbuka six button hapo by that time bei za sm Kama hizo zilikuwa 150K-200K ulikuwa ukikosa unakimbilia Philips hiyo ndo ungepata kwa 80-90K
Na wazazi wahaya akinunua ananunua na ile Kamba ananingiza katika shingo na ikifika jioni simu inatolewa nje inaninginizwa ndani ili kuweka usalama
The old is gold I miss those era
Hamna Mkuu kwanza unaifahamu six unaweza kuitambua katika hizo pichaSix button ilikuw inawakawaka kama king'ola au ambulance.
Oyaa unasomeka wapi muda huu😂 kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani.. Hivyo usishangae kumuona Siemens humo🤣Oya we muhuni wa zamani, ushakunywa mbege!? Mbona kuna siemens humo ndani!!!
Hapo nimetumia aina nyingi saana the best katika picha kwangu ilikuwa n95 ila kuna ile ya Eseries sijui ni 72 ile sikimbuki vizuri, inaslide pembeni hivi simu ilinikonga moyo saana.
Nimetumia nokia nyingi kuliko smartphone zote nikijumlisha kwa pamoja.
Kwenye ramani sisomeki kaka.. 😂Oyaa unasomeka wapi muda huu😂 kwenye msafara wa mamba kenge hawakosekani.. Hivyo usishangae kumuona Siemens humo🤣
Muhimu kutokufahamika kwenye nchi ya WASIOJULIKANA 😂🤣Umekuwa jini siku hizi😂