mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 22,477
- 21,025
wapi Mndengereko na mtu muhimu J.lee come pande hizi uokoe jahazi Excel hakumbuki V day alikuwa na nani
ha ha ha hakwani mi nimeoa lini?
ndugu wenyewe wanalazimisha nirudi ubazazini! sasa naanza kuwasikiliza pole pole qulaleki!
mwekundu unajua hakika #teamrafiki imezaliwa lini. Haya niambie valentine ilikua lini?teh teh teh hao ndo [URL=https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&action=hash&hash=teamrafiki]#teamrafiki [/URL] akina Mr Rocky Mndengereko sungura1980 mwallu Heaven on Earth utafiti ndo zao hao najua pacha wangu Excel ana ndoa rasmi so issue kama hizo hazimasumbui
namsubiri baada ya miezi hiyo.. 9! sina jinsi aisee!! ntalea wanangu woooote niliowatafuta kwa siku moja kulaleki!
ha ha ha ha
ha ha ha ha u made my day take five bi mkubwa atalea watoto kama darasa wengine atampa pacha wako wory out
kwani mi nimeoa lini?
ndugu wenyewe wanalazimisha nirudi ubazazini! sasa naanza kuwasikiliza pole pole qulaleki!
kwani mi nimeoa lini?
ndugu wenyewe wanalazimisha nirudi ubazazini! sasa naanza kuwasikiliza pole pole qulaleki!
watu wanaambiwa mtu kabadilika! baaaado tu wanasema wewe ni bazazi!
qudadeki.. jamabazi kuu akiudhiwa kinatokea nini mwekundu??
cc.. mwallu n Ntuzu n Mndengereko n Mashaxizo...
Bora tuu umejipambanua kuwa wewe ni member mtiifu sana wa #teambazazi na hili linakuhusu sana
usisingizie..ni tabia yako
mwekundu unajua hakika #teamrafiki imezaliwa lini. Haya niambie valentine ilikua lini?
anahasi kwa speed ya ajabuwatu wanaambiwa mtu kabadilika! baaaado tu wanasema wewe ni bazazi!
qudadeki.. jamabazi kuu akiudhiwa kinatokea nini mwekundu??
cc.. mwallu n Ntuzu n Mndengereko n Mashaxizo...
anahasi kwa speed ya ajabu
watu wanaambiwa mtu kabadilika! baaaado tu wanasema wewe ni bazazi!
qudadeki.. jamabazi kuu akiudhiwa kinatokea nini mwekundu??
cc.. mwallu n Ntuzu n Mndengereko n Mashaxizo...
sasa naanza kuasi mdogo mdogo qudadeki! kuna sister mmoja kila anaponiona yeye ni kidole!
bazazi yuleeeeeee!!! sijui nimemlia nini?
au anadhani bazazi ni jina mtu eenh!?
hemb m PM lakini asipaone shemeji hapasasa naanza kuasi mdogo mdogo qudadeki! kuna sister mmoja kila anaponiona yeye ni kidole!
bazazi yuleeeeeee!!! sijui nimemlia nini?
au anadhani bazazi ni jina mtu eenh!?