mugumu tayari chadema imeshinda niko mwanza but nina tarifa za uhakika ......peoples..............wakuu...wakati tukisubiri dakika tu ili chadema itangazwe rasmi kama washindi wa ubunge igunga tayari mgombea wa udiwani wa chadema kata ya masekelo manispaa ya shinyanga bw.mfuko ametangazwa mshindi wa kata hiyo iliyoachwa wazi na marehemu shelembi magadula kwa kujinyakulia kura 1501 dhidi ya 587 za mgombea wa ccm bi rashida rajamu..
Kwa matokeo hayo ya zaidi ya 72% chadema imefanikiwa kutetea kiti chake kwa ushindi wa kimbunga..
Kazi kwenu magamba..
Nawasilisha