Matokeo ya udiwani kata 23 (Oktoba 2, 2011)

Matokeo ya udiwani kata 23 (Oktoba 2, 2011)

wana jf, nipo tarime huku uchaguzi mdogo wa udiwani ccm wameshinda chadema wanalia na mbunge wao ester matiku, huku nyangwine akishangilia na wafuasi wa ccm nyumbani kwake...kule rorya mpaka sasa ccm wamechukua kata moja na chatema moja, bado kata moja tunasubiri, kule serengeti mgumu chatema wameshnda...singinda ccm wameshnda...igunga mpaka sasa ccm wanaongoza kata 13 chadema kata 4....duh mapipo hoi mpaka sasaivi...nawasilisha

Ushuzi wa maharage yaliyochacha!
 
Cdm walifanya sana kampen maeneo hayo lakini,hali halisi ndio hiyo,jamaa yangu alikuwa mmoja wa wadau wa cdm kule,amerudi geto kichwa chn..
 
Dodoma huwa akuna upinzani,wao ni kuwachezea CCM zile ngoma zao za kigogo na wengi ni masikini wa kupindukia.
 
Duh eti CCM wameishinda Chatema! Chatema ni chama gani?
 
CHADEMA imeshinda kata za Endasak, Hanang na Masekelo Shinyanga mjini. Viva CDM viva
 
Been to Dodoma several times and each time I was told Dodoma mjini hakuna wa kupingua kwa CCM .So hilo waachieni ila soon watageuka .
 
Mungu ibariki Tanzania Mungu wape nguvu Pipoz pawa .
 
Hizo ni salamu za mwaka 2015 kwa magamba
 
Mhe Zitto tuna furaha sana TEAMWORK jinsi mlivyojipanga na kujitawanya huku na kule. Hongereni sana CHADEMA Curbs - BAVICHA, sote tunathamini kazi yenu kwani mzigo mliopiga si matani!!!!!!!!!!!!!!
 
Been to Dodoma several times and each time I was told Dodoma mjini hakuna wa kupingua kwa CCM .So hilo waachieni ila soon watageuka .


Mi pia nawajua wagogo na mi pia no mgogo ila hao sasa waishio dom hawaambiliki juu ya CCM panatakuwa nguvu ya ziada pale
 
Back
Top Bottom