Matokeo ya udiwani kata 23 (Oktoba 2, 2011)

Matokeo ya udiwani kata 23 (Oktoba 2, 2011)

Kila la kheri CDM kwani nguvu inayokuja inatoka kwa watu na sauti ya watu ni sauti ya Mungu Aluta Continua! HAkuna kulala hadi kieleweke!! Peoples Power
 
vipi mbona sioni kata ambazo CUF wameshinda au wanazotarajia kushinda,, tupeni nazo jamani eeh !!!
 
Jamani wadau tunaomba mtujuze kuhusu matokeo ya uchaguzi wa madiwani uliofanyika maeneo tofauti. Tunaomba wenye data kamili watuwekee hapa jamvini: TAFADHALI USILETE MATOKEO YA UBUNGE WA IGUNGA.
 
wakuu wale wasaliti wa mbeya mjini vipi matokeo yake ya udiwani?
 
Kwa taarifa nilizozipata hivi punde kutoka kwa mtu wangu wa karibu sana.Katika uchaguzi uliokuwa unafanyika wa udiwani wa kata ya stendi kuu Chama cha bemokrasia na maendeleo chadema kimeibuka kidedea baada ya kuwabwaga chini wagombea wenzake wa chama cha Mapinduzi CCM na CUF
Asante sana wakuu. Mnafanya kazi njema kabisa. Tunaomba muendelee kutujuza yanayoendelea huko maana hata na sisi tulio nje ya mipaka tunahitaji kujua yanayojiri huko na hatuna source nyingine zaidi ya JF. Big up wana JF! Mungu ibariki CHADEMA, Mungu ibariki Tanzania.
 
Mungu aijalie cdm mwaka 2014 serikali za mitaa tukamate kwa wingi tutakuwa tumejiakikishia kuingia magogoni.viva cdm
 
Mungu ndiyo muweza wa kila ki2, mungu ibariki chadema, kwani ndiyo mwokozi wetu wa tz
 
habari njema kwa wanaoipenda nchi hii, wakati tukisubiri ccm kusulubiwa igunga,
habari za uhakika nilizopata toka endasaki babati,ni kuwa hatimaye mgombea udiwani kata ya endasaki kwa tiketi ya chadema bwana hashimu muna ameshinda kiti hicho na kumuacha mgombea wa ccm bwana lazaro shauri kwa kura chini ya 100,

peopleeeeeeeeeeeeee powerr rrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr

 
Bakwata wakisikia hilo jina la mshindi wataharisha.
 
Mungu ibariki Tanzania CCM waone kwamba watanzania wameamka sasa na hawaipendi CCM wala CUF .
 
Back
Top Bottom