Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,718
- 1,443
hONGERA SANA WANA CHADEMA..
,kata ya miyomboni-kitanzini iringa mjini imerudi kwa ccm!, kilichowaponza chadema ni kuwa wenzao ccm waliendelea na kampeni za nyumba kwa nyumba kuwahamacsha watu kwenda kupiga kura wakati chadema waliamini watu watakumbuka wenyewe!
usiwe mnafiki na mwongo nlikua Iringa kikazi kipindi hiki na nilifikia maeneo ya Kitanzini kwa ndgu yangu ki ukweli yule mama alikua akipita nyumba hadi nyumba kutoa mlungula, wana Kitanzini wamekwisha mana yule mama amegombea ili kulinda biashara zake haramu,kata ya miyomboni-kitanzini iringa mjini imerudi kwa ccm!, kilichowaponza chadema ni kuwa wenzao ccm waliendelea na kampeni za nyumba kwa nyumba kuwahamacsha watu kwenda kupiga kura wakati chadema waliamini watu watakumbuka wenyewe!
Ha ha...na bado..
Jimbo tulilowaazima twalirudisha 2015.
Wewe utoto unakusumbua,kura zenyewe labda ndio umeanza kupiga leo.Nani Aliazimishwa Jimbo kama sio nyie Magamba wazee wa kuchakachua?1995-2000:NCCR Mageuzi walishika jimbo,Mkamnunua Mfwalamagoha na kumfukuza kwenye shule yenu M'Togwa,Tukamuweka Mbalinga Mfune 2000-2005 Mkachakachua live na maana ya kuchakachua Iringa ilianzia hapa,2005 mkamchakachua msigwa.@ 2010 Mmekiona cha moto,Tumekomboa Jimbo letu mnahaha sasa,eti mmetuazima,Kale Pilau la Jesca Kesho,ila baada ya wiki utasikilizia stimu za maisha.VP mbege imeisha barabara-2???Mchiriku mliokuwa mnacheza je?...Nafikiri kuna haja ya kutenganisha Kitanzini iwe kata inayojitegemea na Miyomboni maana Nimekusanya matokeo yote.Stendi,THB,Soko Kuu,Fire Chadema tumeongoza,Uswazi Kitanzini siwezi shangaa chadema kushindwa maana Tamko la Igunga nahisi mmelitumia mpaka huku safi sana tabakwa ushauri wenu wameusikia.Kitanzini oyee KiGUMU chama chenu!!!!!!!
mbona Musoma kuna mabadiliko ya uongozi lakini hakuna maendeleo? Angalia rorya ya wakati ule marando, mwibara ya mutamwega, musoma mjini ya Vicent nyerere, hamia kigoma Kigoma ya Zitto,nenda mpanda mpanda ya arfi na mengine mengi tu. tarime ya chacha wangwe na mwera.
Kwa taarifa nilizozipata hivi punde kutoka kwa mtu wangu wa karibu sana.Katika uchaguzi uliokuwa unafanyika wa udiwani wa kata ya stendi kuu Chama cha bemokrasia na maendeleo chadema kimeibuka kidedea baada ya kuwabwaga chini wagombea wenzake wa chama cha Mapinduzi CCM na CUF
mbeya mjini kwa mh SUGUNi jimbo gani hili wadau?