Matokeo ya udiwani kata 23 (Oktoba 2, 2011)

Matokeo ya udiwani kata 23 (Oktoba 2, 2011)

mbeya ngoma droo kwani cdm wamefanikiwa kutetea kata ya nzovwe mby ambayo diwani wao alijiuzulu na ccm wametetea pia kata ya majengo ambayo iliachwa wazi baada ya kufariki kwa mh. shayo wa ccm
 
Kinachonifurahisha zaidi mpaka wachungaji wanajua CCM imeexpire . Mgombea wa udiwani Nzowe alikuwa/ni Mchungaji
 
Safi saaaaaaana chadema!! japo kwenye kata yangu ya ngangilonga Iringa mjini tumepoteza dah!! inauma bt ipo ck kitaeleweka2 Mungu ibariki chadema!!!
 
Kinachonifurahisha zaidi mpaka wachungaji wanajua CCM imeexpire . Mgombea wa udiwani Nzowe alikuwa/ni Mchungaji

hebu jipange then uje kikamilifu hizi nusu nusu hata hakuna takwimu inakuwa imekaa kushoto kidogo.
 
daaah hivyo habari njema , haleluyaaaa . . . . . amenia.

vp na ile kata nyinginee
 
daaah hivyo habari njema , haleluyaaaa . . . . . amenia.

vp na ile kata nyinginee
ile kata ya Majengo imechukuliwa na magamba,lakini Nzovwe we acha tu,ktk vituo 21,mch Mwashilindi kaongoza vyote!
 
,kata ya miyomboni-kitanzini iringa mjini imerudi kwa ccm!, kilichowaponza chadema ni kuwa wenzao ccm waliendelea na kampeni za nyumba kwa nyumba kuwahamacsha watu kwenda kupiga kura wakati chadema waliamini watu watakumbuka wenyewe!
 
Jimbo la Mbeya Mjini: CCM imeshinda kata ya Majengo, naCHADEMA imeshinda kata ya Nzovwe

Jimbo la Iringa Mjini: CCM imeishinda CHADEMA kwenye kata ya Gangilongana ya Kitanzini.

Wilayani Njombe: CCM imeishinda CHADEMA kwenye kata ya MjiMwema
 
Jimbo la Mbeya Mjini: CCM imeshinda kata ya Majengo, naCHADEMA imeshinda kata ya Nzovwe

Jimbo la Iringa Mjini: CCM imeishinda CHADEMA kwenye kata ya Gangilongana ya Kitanzini.

Wilayani Njombe: CCM imeishinda CHADEMA kwenye kata ya MjiMwema


Duh sasa huko Njomba na Iringa mjini watu bado wana amini CCM au kuna kitu gani ? Huko Chadema si wana wabunge imekuwaje sasa hata kata moja wasipate ?
 
Back
Top Bottom