engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Jamani tupo mbali na nchi tunaomba matokeo mtakayo yaweka yawe ya kweli,kwani ndicho chombo pekee tukitumiacho kwa sasa kupata matokeo
</p>Wapiga kura 147</p>
<p> </p>
<p><b>Urais</b></p>
<p> </p>
<p>CCM -72,</p>
<p>CHADEMA - 71,</p>
<p>CUF - 3,</p>
<p>NRA, TLP & APPT - 0. </p>
<p> </p>
<p><b>Uubunge </b></p>
<p> </p>
<p>CCM - 60,</p>
<p>CHADEMA - 72,</p>
<p>CUF - 8,</p>
<p>NCCR - 0,</p>
<p>TLP - 1. </p>
<p> </p>
<p><b>Diwani </b></p>
<p> </p>
<p>CCM - 64,</p>
<p>CHADEM - 64,</p>
<p>CUF - 19
Najuwa Dr slb ndio Rais wetu.
Sasa hivi nia ni kubana sio kushinda?
Hizi turn out ndogo ni balaa kwa slaa maana wakati wa kujumlisha ni kumwongezea JK idadi ambayo haikupiga kura simple!
Kwa nini ndogo?
Watu wamekata tamaa na JK
Wengine wanajua ccm mabingwa wa kuchakachua so votes wont count
Nasikia sehemu nyingine wanaume wamejua udhaifu wa kiumbe jike na kupiga ribiti..so simple!
Slaa - 454, Mnyika - 473
JK - 71 , Hawa - 45
Asante sana vijana wetu, hongera sana mmeshiriki kuikomboa nchi yetu.Slaa - 454, Mnyika - 473
JK - 71 , Hawa - 45
Hapa hakuna ubishi...tulijua tuu ..ndo maana wakafunga chuo manake aibu ingewakuta