Matokeo ya NACTE yametoka?

Matokeo ya NACTE yametoka?

Et wakuu kweny link zaku apply vyuo ileh capacity kule mwsho inamaanish nn??? Maana naona nyingin zinapanda2
 
jamani naomba kuuliza kwa ualimu diploma kwa matokeo haya form six 2014 physics_E
chemistry_D
biology_C

je naweza kupata nafasi ualimu wa sayansi diploma?
 
Back
Top Bottom