Matokeo ya NACTE yametoka?

Hazijatoka bhana mbona kama vile nimeangalia kwenye profile not yet Ualim
 
Aloooo nacte watu tuna two zetu nyeupe mmetuacha alooooo kuwen seriously tuliacha kwenda advance af now mnatuletea songombingo hizo alooooo mtufikirie bac angalau tufarjike na sie
 
Aloooo nacte watu tuna two zetu nyeupe mmetuacha alooooo kuwen seriously tuliacha kwenda advance af now mnatuletea songombingo hizo alooooo mtufikirie bac angalau tufarjike na sie
Alooo uliyataka mwenyew alooo kuacha advance uliona ni deal alooo polee sana mkuuu aloooh
 
Walopata nafasi Nacte,angalieni profile zenu wametema vyuo
 
Kuna dogo analia tu hapa kusahau username na password na hajui kama kachaguliwa au la
 
Aloooo nacte watu tuna two zetu nyeupe mmetuacha alooooo kuwen seriously tuliacha kwenda advance af now mnatuletea songombingo hizo alooooo mtufikirie bac angalau tufarjike na sie
Advance nao ni wengi sikuhizi wanaoaply diploma so hawawez kuwaacha wakakuchukua wew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…