SUPERUSER
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 960
- 304
Na makelele yote yale kumbe alikua anasindikiza wenzake pale Old Moshi?, duh!
hahaha!..kazi kwelikweli
Na makelele yote yale kumbe alikua anasindikiza wenzake pale Old Moshi?, duh!
Kweli alipata 0 ZERO kwani alisoma na kaka yangu.
Ndugu zangu mimi sendeka namfahamu vizuri zaidi,ni kweli ana zero form six na sidhani kama ana uwezo wa kumlipia tundu lissu tuition otherwise akafanye mtihani tena wa form six aondoe hiyo aibu yake halafu angalau auze ng'ombe 2000 kati ya 7000 alionao awasaidie watoto wake wa nje wanaoteseka hovyo kutokana na kuwatelekeza hasa watoto wake kama vile nailejileji anayesoma tumaini university,kijana wake aliyemaliza sheria chuo kikuu makumira kwa kudra za mwenyenzi mungu,naino aanayesoma lushoto diploma ya sheria.
ishu ni hii,kama ameshindwa kuwatunza watoto wake atawezaje kumlipia tundu lissu tuition ya kitu ambacho yeye mwenyewe hajui? Sendeka sio mmasai biologically,ni msomali,na baba yake anaitwa mohamed,yeye alikuwa akiitwa Ismail lakini alibadilisha jina na kuitwa christopher mara baada ya kujiunga na shule ya sekondari moringe,ndio maana hana maadili ya kimasai,ana ropoka hovyo hovyo,hebu mwangalie telele,olenangoro,lekule laizer wote ni wastaarabu isipokuwa sendeka. Mwambieni aache kiherehere
poor sendeka
Ndugu zangu mimi sendeka namfahamu vizuri zaidi,ni kweli ana zero form six na sidhani kama ana uwezo wa kumlipia tundu lissu tuition otherwise akafanye mtihani tena wa form six aondoe hiyo aibu yake halafu angalau auze ng'ombe 2000 kati ya 7000 alionao awasaidie watoto wake wa nje wanaoteseka hovyo kutokana na kuwatelekeza hasa watoto wake kama vile nailejileji anayesoma tumaini university,kijana wake aliyemaliza sheria chuo kikuu makumira kwa kudra za mwenyenzi mungu,naino aanayesoma lushoto diploma ya sheria.
ishu ni hii,kama ameshindwa kuwatunza watoto wake atawezaje kumlipia tundu lissu tuition ya kitu ambacho yeye mwenyewe hajui? Sendeka sio mmasai biologically,ni msomali,na baba yake anaitwa mohamed,yeye alikuwa akiitwa Ismail lakini alibadilisha jina na kuitwa christopher mara baada ya kujiunga na shule ya sekondari moringe,ndio maana hana maadili ya kimasai,ana ropoka hovyo hovyo,hebu mwangalie telele,olenangoro,lekule laizer wote ni wastaarabu isipokuwa sendeka. Mwambieni aache kiherehere
poor sendeka
SAMAHANI KWA KUTOIPANGA CV VIZURI, NIMESHINDWA KUIEDIT NIMETUMIA SIMU KUI COPYMods vp mmeifuta thread iliyokuwa inaonyesha Education background ya Ole Sendeka na Tundu Lisu? Ts not fair bana!
SAMAHANI KWA KUTOIPANGA CV VIZURI, NIMESHINDWA KUIEDIT NIMETUMIA SIMU KUI COPY
Home »Member CV E-mail this to a friend
Printable version PDF format GENERAL
Salutation Honourable Member picture First Name: Christopher Middle Name: Olonyokie Last Name: Ole-Sendeka Member Type:
Constituent: Simanjiro Political Party: CCM Office Location: P.O.Box 14384, Arusha Office Phone: +255 768 300000 Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: csendeka@parliament.go.tz Member Status: Current Member Date of Birth EDUCATIONS School Name/Location
Course/Degree/Award Start Date End Date Level Naberera Primary School Primary Education 1974
1980 PRIMARY Monduli Secondary School O-Level Education 1981
1984 SECONDARY Oldmoshi High School A-Level Education 1985
1987 HIGH SCHOOL MS.TCDC & Kimage Manor College (IRELAND) Community Development Course 1995
1997 DIPLOMA CERTIFICATIONS Certification Name or Type Certification No. Issued Expires No items on list EMPLOYMENT HISTORY Company Name Position From Date To Date The Parliament of Tanzania
Member - Simanjiro Constituency 2005
2015 Non-Government Organisations- NGO's
Programme Coordinator/ Officer 1994
1997 Prime Minister's Office
Secretary 1990
1993
Ndugu zangu mimi sendeka namfahamu vizuri zaidi,ni kweli ana zero form six na sidhani kama ana uwezo wa kumlipia tundu lissu tuition otherwise akafanye mtihani tena wa form six aondoe hiyo aibu yake halafu angalau auze ng'ombe 2000 kati ya 7000 alionao awasaidie watoto wake wa nje wanaoteseka hovyo kutokana na kuwatelekeza hasa watoto wake kama vile nailejileji anayesoma tumaini university,kijana wake aliyemaliza sheria chuo kikuu makumira kwa kudra za mwenyenzi mungu,naino aanayesoma lushoto diploma ya sheria.
ishu ni hii,kama ameshindwa kuwatunza watoto wake atawezaje kumlipia tundu lissu tuition ya kitu ambacho yeye mwenyewe hajui? Sendeka sio mmasai biologically,ni msomali,na baba yake anaitwa mohamed,yeye alikuwa akiitwa Ismail lakini alibadilisha jina na kuitwa christopher mara baada ya kujiunga na shule ya sekondari moringe,ndio maana hana maadili ya kimasai,ana ropoka hovyo hovyo,hebu mwangalie telele,olenangoro,lekule laizer wote ni wastaarabu isipokuwa sendeka. Mwambieni aache kiherehere
poor sendeka
Teh teh teh....zero ya pts 20 au 21?