Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
KAMA KWELI KAKANA KITU BASI HICHI KIJITOTO CHA MZEE NNAUYE HAFAI HATA KUSHIKA NAFASI YA UKATIBU KATA!!!!!!!!!!!
Kama kweli anadiriki kukana waka THREAD yake nzima tulishaihifadhi mbali kabisa kutokana na hiyo BLANDER YA KISHERIA aliyoifanya basi huyu kijana wa Mzee Nnauye HAFAI hata kushika nafasi ya UKATIBU KATA - ovyo kabisa hamna kitu pale.
Nape na CCM kweli mnaleta 'mzaha za akina Rage na bunduki kuwarukia viunoni bila kutambua' katika masuala nyeti kama haya ya uchaguzi.
Kama haujui maana ya kosa la KIUFUNDI ulilolitenda basi nenda ukamuulize Mzee Mukama atakuelewesha pengine kwa kukulambisha kibao cha uso maana mpaka hapa KUNA KILA DALILI uchaguzi wa Igunga kuingia DOSARI KUBWA hivyo kuhitaji tafsiri za hali ya juu kisheria.
NB: Na mpaka hapa ni vema ikaeleweka wazi kwamba KITU CHOCHOTE MATANGAZO YA MATOKEO YA UCHAGUZI kwa jina la Jimbo la Igunga KAMWE HAYAWEZI KUAMINIKA tena na mtu yeyote mwenye akili timamu na ufahamu wa sheria za uchaguzi.
Nape na CCM tayari mmeingiza taifa kwenye HASARA kubwa katika hili.
Kama kweli anadiriki kukana waka THREAD yake nzima tulishaihifadhi mbali kabisa kutokana na hiyo BLANDER YA KISHERIA aliyoifanya basi huyu kijana wa Mzee Nnauye HAFAI hata kushika nafasi ya UKATIBU KATA - ovyo kabisa hamna kitu pale.
Nape na CCM kweli mnaleta 'mzaha za akina Rage na bunduki kuwarukia viunoni bila kutambua' katika masuala nyeti kama haya ya uchaguzi.
Kama haujui maana ya kosa la KIUFUNDI ulilolitenda basi nenda ukamuulize Mzee Mukama atakuelewesha pengine kwa kukulambisha kibao cha uso maana mpaka hapa KUNA KILA DALILI uchaguzi wa Igunga kuingia DOSARI KUBWA hivyo kuhitaji tafsiri za hali ya juu kisheria.
NB: Na mpaka hapa ni vema ikaeleweka wazi kwamba KITU CHOCHOTE MATANGAZO YA MATOKEO YA UCHAGUZI kwa jina la Jimbo la Igunga KAMWE HAYAWEZI KUAMINIKA tena na mtu yeyote mwenye akili timamu na ufahamu wa sheria za uchaguzi.
Nape na CCM tayari mmeingiza taifa kwenye HASARA kubwa katika hili.