Safi sana na hongereni kwa kufanya uamuzi wa busara. Nchi yetu inazaliwa.Tukuyu ushirika,
Urais:
chadema - 700,
ccm 54,
Mbeya mjini kituo cha azimio,
Urais:
chadema - 101,
ccm - 43,
Kituo cha Mwenge,
Ubunge:
chadema - 130,
ccm - 33,
Kituo cha kilimo 1,
Urais:
chadema - 119,
ccm - 29,
Kituo 2,
Urais:
chadema - 109
ccm - 39.
Habari toka Vwawa, chadema inaongoza mji unazizima kwa shangwe!
Mbeya oyeee!
Tunajifunza nini kutoka mbeya!
JK hawezi kujiunga wala kusoma JF maana hana sifa za kuwa Great thinkerHivi Jamani JK anasomaga JF kweli si anaweza piga chini laptop yake kama haya matokeo ya mbeya yako hivi tuu.. Kyela tumerudishia na hizi kura za tukuyu jamani ngoma hiyo Magogoni kama utani vile lakini ifikapo kesho saa nne hivi tuna toss champing kwa sasa mitaa ya Luthili ni yetu wanyonge ....ni awamu yetu hii jamani nasi tujione tupo kwa nchi yetu.