Matokeo ya ubunge vituo viwili vya block T - Mbeya Mjini ni
Kituo A
chadema 140,
ccm 33,
Kituo B
chadema 115,
ccm 15.
Nita-update mara nipatapo matokeo mengine.
Pia, vijana wamejitokeza kulinda kura vituoni kuhakikisha hakuna kinachoingia au kutoka.
Channel 10?????Sasa mbona chanel ten wanasema CCM eti ndo wanaongoza??? hebu angalieni chanel ten asa ivi!!!
Sasa mbona chanel ten wanasema CCM eti ndo wanaongoza??? hebu angalieni chanel ten asa ivi!!!
Kazi ipo...CCM waandae pakwenda kujificha mapema!
Sasa mbona chanel ten wanasema CCM eti ndo wanaongoza??? hebu angalieni chanel ten asa ivi!!!
hta 2cpopata urais haina shda ila 2pate vjana weng bungen
Kazi ipo...CCM waandae pakwenda kujificha mapema!
Ch ten wanaweza sema slaa aambulia kura zero karatu
Lazma muwachinje? Kwahiyo vita inaiva sasa au?
tutapata pale matokeo yote yatakapo jumuishwa maana sasa kila mtu anaongea yake.Sasa mbona chanel ten wanasema CCM eti ndo wanaongoza??? hebu angalieni chanel ten asa ivi!!!